Msinione napendeza, naogea backing powder! Sabuni nimetupa kulee!

Msinione napendeza, naogea backing powder! Sabuni nimetupa kulee!

Nichumu Nibebike

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2016
Posts
8,658
Reaction score
15,793
Nina siku kadhaa tangu niache kuogea sabuni. Maji yenyewe haya ya kisima, ukioga unajikuta umepaukaa.
Katika kujaribu jaribu kuboresha hali ya bafuni, nikaanza kuogea backing powder! Weee, the result is awesome.

Sijui tena kama nitarudi kuogea sabuni. Labda kama naoga maji ya mvua. Ila kwa maji haya ya magadi, backing powder ni zaidi ya sabuni...
 
Take care.. with time unaweza kulia na ngozi yako hyo.
Baking powder inaweza kusaidia kuboresha ngozi ila sio ndo usubstitute na sabuni unayoogea kilasiku.
Soma soma reviews za watu walopitia unalofanya saivi.
 
Take care.. with time unaweza kulia na ngozi yako hyo.
Baking powder inaweza kusaidia kuboresha ngozi ila sio ndo usubstitute na sabuni unayoogea kilasiku.
Soma soma reviews za watu walopitia unalofanya saivi.
sidhani kama kuna madhara yoyote,maana kama inatumika kwa matumizi ya baadhi ya vyakula na NI ndani ya mwili itasumbuaje matumizi ya nje?
 
sidhani kama kuna madhara yoyote,maana kama inatumika kwa matumizi ya baadhi ya vyakula na NI ndani ya mwili itasumbuaje matumizi ya nje?
sidhani kama kuna madhara yoyote,maana kama inatumika kwa matumizi ya baadhi ya vyakula na NI ndani ya mwili itasumbuaje matumizi ya nje?
Kwenye matumizi Kilakitu kwa kiasi..baking soda wasn't made for bathing. Mara moja moja sawa huwa inatumika kwa wenye vipele/chunusi nk. Hutoona madhara mwanzo ila in short unaichosha ngozi. Anyways to each his own..
 
Umeshajiuliza kwanini wazungu wakizeeka ngozi zao zinachoka haraka kulinganisha na watu weusi,too much makeups wakati wa ujana,mwisho wa siku ukifika 40yrs utajikuta unavaa hijabu...
 
Nina siku kadhaa tangu niache kuogea sabuni. Maji yenyewe haya ya kisima, ukioga unajikuta umepaukaa.
Katika kujaribu jaribu kuboresha hali ya bafuni, nikaanza kuogea backing powder! Weee, the result is awesome.

Sijui tena kama nitarudi kuogea sabuni. Labda kama naoga maji ya mvua. Ila kwa maji haya ya magadi, backing powder ni zaidi ya sabuni...
mkuu wangu, mimi huwa nakuheshimu balaa, umenishtua sana kuwa unasaka ngozi nyororo......[emoji28]
 
mkuu wangu, mimi huwa nakuheshimu balaa, umenishtua sana kuwa unasaka ngozi nyororo......[emoji28]
Sio ivo mkuu. Maji ya chumvi yalikuwa yanaharibu ngozi. Ukioga unajikuta umepauka balaa na ngozi kukatika. Kwa kuwa ndio nishachimba kisima na maji ya bomba hayatoki, sikua na mbadala zaidi ya kuapply Kemia. Sasa naona matokeo chanya!
 
Kuna vitu 2
1.Shower
2.Bath
Ile tunayofanya kila siku asubuhi na jioni ni Shower, sidhani kama waweza tumia baking powder ktk zoezi hili maana huwa ni zoezi la chap chap
2.Bath
Hili ni zoezi linalofanyika once a week linaweza chukua masaa hata 2 vitu kama chumvi, baking powder, maji ya moto na kadhaalika vyaweza tumika
 
Nina siku kadhaa tangu niache kuogea sabuni. Maji yenyewe haya ya kisima, ukioga unajikuta umepaukaa.
Katika kujaribu jaribu kuboresha hali ya bafuni, nikaanza kuogea backing powder! Weee, the result is awesome.

Sijui tena kama nitarudi kuogea sabuni. Labda kama naoga maji ya mvua. Ila kwa maji haya ya magadi, backing powder ni zaidi ya sabuni...
Hapo ukiweka amira na ngano tayari ushapata maandazi
 
Sio ivo mkuu. Maji ya chumvi yalikuwa yanaharibu ngozi. Ukioga unajikuta umepauka balaa na ngozi kukatika. Kwa kuwa ndio nishachimba kisima na maji ya bomba hayatoki, sikua na mbadala zaidi ya kuapply Kemia. Sasa naona matokeo chanya!
Lakini wewe ni Me siyo Ke angalia
 
Take care.. with time unaweza kulia na ngozi yako hyo.
Baking powder inaweza kusaidia kuboresha ngozi ila sio ndo usubstitute na sabuni unayoogea kilasiku.
Soma soma reviews za watu walopitia unalofanya saivi.
@nichumu nibebike anataka kuwa hivi
Screenshot_20180906-131825.jpg
 
Back
Top Bottom