isamilo1982
Member
- Jan 17, 2012
- 55
- 5
nahitaji mume mwenzenu,mi sijasoma ila mwaka jana nimefa qt na sasa naendelea na masomo ya sekondari mwaka huu nitafanya mtian wa fm 4 ila nafanya kazi kwenye ofisi moja kama muhudumu ni kazi inayonifanya niweze kujikimu.Nina mtoto m1 mimi ni mkristo nimeokoka,nina miaka 29.Aliye mkristo na ambaye ameokoka :washing:kikweli kweli na angalau awe na mtoto m1,sichagui rangi kabila lolote ila tu asiwe mzaramo.Aliye tayari namkaribisha.Sitanii japo najua wapo watakaonibeza
UNGEKUWA MLOKOLE KWELI USINGEKUWA NA MTOTO WA OFFSIDE...chezea ukuni weeeee
UNGEKUWA MLOKOLE KWELI USINGEKUWA NA MTOTO WA OFFSIDE...chezea ukuni weeeee
nahitaji mume mwenzenu,mi sijasoma ila mwaka jana nimefa qt na sasa naendelea na masomo ya sekondari mwaka huu nitafanya mtian wa fm 4 ila nafanya kazi kwenye ofisi moja kama muhudumu ni kazi inayonifanya niweze kujikimu.Nina mtoto m1 mimi ni mkristo nimeokoka,nina miaka 29.Aliye mkristo na ambaye ameokoka :washing:kikweli kweli na angalau awe na mtoto m1,sichagui rangi kabila lolote ila tu asiwe mzaramo.Aliye tayari namkaribisha.Sitanii japo najua wapo watakaonibeza
nahitaji mume mwenzenu,mi sijasoma ila mwaka jana nimefa qt na sasa naendelea na masomo ya sekondari mwaka huu nitafanya mtian wa fm 4 ila nafanya kazi kwenye ofisi moja kama muhudumu ni kazi inayonifanya niweze kujikimu.Nina mtoto m1 mimi ni mkristo nimeokoka,nina miaka 29.Aliye mkristo na ambaye ameokoka :washing:kikweli kweli na angalau awe na mtoto m1,sichagui rangi kabila lolote ila tu asiwe mzaramo.Aliye tayari namkaribisha.Sitanii japo najua wapo watakaonibeza
Huchagui kabila wakati ushasema hutaki Mzaramo!