msinizodoe jamaniiiiiiiiiii

Jamani WINGU,kwani we huyo uliye naye ulimpata mtaani kwenu?
 
All the best, lakini nivyema shule ikaisha kwanza. Usije ujikuta unakosa vyote!
 
PM yako tu!niko a town,kazi ya kutosha,miaka 31,mkristo,mlokole!kama una nia!wewe mwenyewe!kazi kwako!Elimu yangu masters!
 
Hapo unapo ishi hamna wanaume mpaka uje huku.Au unataka uwapunguze member wa jf ushindwe na .....
we Wingu wewe!kha! kwani huyo mpenzi wako imemtoa mtaani kwenu?si mmekutana nanii..... au unadhani sijui?
 
Nicheki chenye simu 0713 64 44 85 and Mail emmanuelvitalis@tanzaniamail.com
 
Nicheki chenye simu 0713 64 44 85 and Mail emmanuelvitalis@tanzaniamail.com uwe serious lakini
 
wewe mbona CV yako haijakamilika??? umekataa kabila ila wewe hujasema kabila lako, mahali ulipo etc huoni unapunguza kasi halisia kwa wengine wanaopenda kubagua???
 
Watu wengine bana. .
Hapo aliposema alizaliwa akiwa mlokole ni wapi?

Na wewe mtoa mada kama hubagui kabila mbona lipo ulilosema hutaki? Kanisani mnafundishwa ubaguzi siku hizi ehhh?

Huchagui kabila wakati ushasema hutaki Mzaramo!

Mzaramo si mtu?

nahisi aliompa mimba wa kwanza ni mzaramo kwa hiyo anakinyongo nao..

Hawa waume unaotafuta online, utaishia kupata mtoto wa pili na kuendelea!

labda ankoli mwingira ndio kamshauri hivyoo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…