Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,370
kuna kidada flani kinasoma mwl nyerere university kinasomea mambo ya gender sijui nani alikidanganya maskini eti watu wa gender wanatafutwa sana na salary ni 4m khaaa nikakaangaliaaa, yaani kana kazi kubwa sana mbele yake, kwanza najua hakajui interview ni nini, halafu kwenye vacancy sijui mnisaidie km mmeona hizo post. Kingine nakaonea huruma maana toka kamekuja mjini kanalala na kila mwanaume kakitafuta pesa kamaweza hata kasifikie hata kupata kazi kakawa kameathirika. Nakasubiri kamalize chuo nione hiyo kazi ya 4m itakakopatikana.
Ndugu Mtoa Mada, Ningependa kuchangia mada hii kama ifuatavyo.........
WAWEKEZAJI WAKATI WA UKOLONI WALISEMA ATUNA ELIMU, WATANZANIA SASA WANA ELIMU WANASEMA ATUNA EXPERIENCE,
Moja ningependa ueshimu kazi ya marketing as professional ambayo ndo inaendeleza kampuni yoyote kwa kiasi kikubwa but now days watu wamekuwa wakizarau watu wa marketing na kuwafanya kama walimu wa vodafasta.......tuchukuie mfano mtu kasomea engineering unampeleka marketing, Tatizo lilipo na tanzania yetu atueshimu professional na ndo maana muundi anaposhindwa kumpata mtu kutokana na professional yake anaajiri mtu yoyote tu, mtuu mwenye professional yake akubali salary ambayo akuipanga kupata, WHAT IS PROFESSIONAL, TANZANIA WAKATI WA UKOLONI, WAWEKEZAJI WALISEMA ATUNA ELIMU, WATANZANIA SASA WANA ELIMU WANASEMA ATUNA EXPERIENCE,
Ahsante sana kwa ushauri ndugu mtoa, Lakini bado siwezi kufanya kazi ya kuzungusha vyombo mtaan bora niendelee kuonekana mchagua kazi
mojoki, hata usingeandika, Avatar yako inaeleza hayo yote.
Nawasalimu wakuu!
kazi tembo mshahara sisimizi,
APO CHACHA!