Viongozi wetu hawana nia ya kulipa kodi kama inavyostahili. Ili kukwepa kulipa stahiki yao kamili ya kodi, sehemu kubwa zaidi ya mapato yao wameiita "posho."
Kwenye orodha ya wakwepa kodi hao yumu Mwigulu na timu nzima ya vigogo wote. Almaarufu walamba asali.
Kwa wenzetu kunaponoga:
Enyi huko serikalini, bungeni, nk hamuoni hata aibu wandugu?
Ewe Mwigulu, Majaliwa, Samia na wenzenu kulikoni kuwatwisha wananchi mzigo wa tozo hali nyie kodi za msingi tu haziwahusu?
Au ninyi masikio yenu ni Ile hadi uvumilivu utushinde?
Lipeni kodi haipo haja ya tozo wala timu ya kuzichunguza.
Kwenye orodha ya wakwepa kodi hao yumu Mwigulu na timu nzima ya vigogo wote. Almaarufu walamba asali.
Kwa wenzetu kunaponoga:
Enyi huko serikalini, bungeni, nk hamuoni hata aibu wandugu?
Ewe Mwigulu, Majaliwa, Samia na wenzenu kulikoni kuwatwisha wananchi mzigo wa tozo hali nyie kodi za msingi tu haziwahusu?
Au ninyi masikio yenu ni Ile hadi uvumilivu utushinde?
Lipeni kodi haipo haja ya tozo wala timu ya kuzichunguza.