Wewe
KWA katiba yetu wanasiasa hawalipi kodi !unajua hilo!!?
Mbunge hakatwi kodi kwenye mshahara!? Hata Rais hivo hivo!!?
Wenye hekima Wanaimba HIVI;-
"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"
Wanao jifanya wazalendo no 1 hawalipi Kodi alafu kutwa kusisitiza wananchi walipe Kodi Kama ishara ya uzalendo alafu mwisho wazalendo no 1 wanatumia Kodi kujilipa posho na kununua v8
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app