sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,182
- 8,948
Tusizuiliwe kuhoji, pesa za kuendelea miradi mathalani bwawa la Nyerere, ujenzi wa reli na miradi mingine Raisi Mwendazake aliwai kusema sio mara moja au mara mbili, kuwa pesa zipooooooo!nasema pesa zipoooo in his voice like akitamka nileteeni "Gwajima,nasema nileteeni Gwajima Nileteeni Gwajima"
Lazima tuhoji mwaka mmoja wa Magufuli Nini kilifanyika ndani ya mwaka mmoja na tuseme ukweli ndani ya mwaka mmoja wa Rais aliyepomadarakani Nini kafanya nje ya ujenzi wa shule za mikopo?
Najua ntaambiwa amefungua nchi, hivi nchi ilifungwa alafu ikawa inakopeshekaje?mbona hakwenda nje kama mama yetu na alikopeshekaje?
Lazima najua mtaniambia,fursa zimefunguka?zipi hizo?
Mtaniambia amrudisha nidhamu kazini eti kisa sabaya yupo jera?
Semeni vinavyo onekana Rais amefanya Nini hacheni makala zinazoandaliwa na mawaziri za uongo uongo,
Twambieni mtaniambia amefungulia uhuru wa habari kivipi? Mswada gani umepelekwa bungeni kubadili Sheri mbovu zinazosimamia habar Tanzania?
Niambieni hivi mnajua pembejeo zimepanda bei,hivi mnajua vifaa vya ujenzi vinapanda Kila siku?
Hivi mnajua hakuna salary increament to civil servant?
Onesheni kwa macho tuone na tuguse sisi wengine ni wakina Tomaso mpka tuone na kugusa ndo tunaamini vinginevyo tuache cheap politics tumezichoka.
Lazima tuhoji mwaka mmoja wa Magufuli Nini kilifanyika ndani ya mwaka mmoja na tuseme ukweli ndani ya mwaka mmoja wa Rais aliyepomadarakani Nini kafanya nje ya ujenzi wa shule za mikopo?
Najua ntaambiwa amefungua nchi, hivi nchi ilifungwa alafu ikawa inakopeshekaje?mbona hakwenda nje kama mama yetu na alikopeshekaje?
Lazima najua mtaniambia,fursa zimefunguka?zipi hizo?
Mtaniambia amrudisha nidhamu kazini eti kisa sabaya yupo jera?
Semeni vinavyo onekana Rais amefanya Nini hacheni makala zinazoandaliwa na mawaziri za uongo uongo,
Twambieni mtaniambia amefungulia uhuru wa habari kivipi? Mswada gani umepelekwa bungeni kubadili Sheri mbovu zinazosimamia habar Tanzania?
Niambieni hivi mnajua pembejeo zimepanda bei,hivi mnajua vifaa vya ujenzi vinapanda Kila siku?
Hivi mnajua hakuna salary increament to civil servant?
Onesheni kwa macho tuone na tuguse sisi wengine ni wakina Tomaso mpka tuone na kugusa ndo tunaamini vinginevyo tuache cheap politics tumezichoka.