Tatizo la viongozi wengi ni kulewa madaraka bila kusoma nyakati. Msije hata siku mmoja kujidanganya kwamba Watanzania watabaki hivi hivi miaka hii ya mitandao.
Serikali isikojirudi na kutengeneza idara imara za kidemokrasia itatoa mwanya huko mbele kama zile nchi tunazoona wananchi wameona bora jeshi kuliko wanasiasa. Hivyo nashauri kutoka moyoni kabisa bila kuwa na chama kuweka katiba nzuri yenye usawa ni muhimu sana kama mnaona mbele. Msikofanya hivyo mtatuletea utawala wa kijeshi na kuchokwa.
Serikali isikojirudi na kutengeneza idara imara za kidemokrasia itatoa mwanya huko mbele kama zile nchi tunazoona wananchi wameona bora jeshi kuliko wanasiasa. Hivyo nashauri kutoka moyoni kabisa bila kuwa na chama kuweka katiba nzuri yenye usawa ni muhimu sana kama mnaona mbele. Msikofanya hivyo mtatuletea utawala wa kijeshi na kuchokwa.