Hakuna jeshi Tanzania, bali kuna kikundi cha machawa wa CCM wanaoshika bunduki.Msipofanya hivyo mtatuletea utawala wa kijeshi na kuchokwa.
Wanajesh hawafanyi kaz hiyo pasipo support ya wananchi. Wananchi mmeshindwa kutaka mabadiliko watawa support vip?Wanajeshi wenyewe wako wapi wa kushika nchi, kama wapo wangeshafanya hivyo kitambo sana
Hili angalizo nimelielewa sana. Hongera kwa kuona mbali.Tatizo la viongozi wengi ni kulewa madaraka bila kusoma nyakati. Msije hata siku mmoja kujidanganya kwamba Watanzania watabaki hivi hivi miaka hii ya mitandao.
Serikali isikojirudi na kutengeneza idara imara za kidemokrasia itatoa mwanya huko mbele kama zile nchi tunazoona wananchi wameona bora jeshi kuliko wanasiasa. Hivyo nashauri kutoka moyoni kabisa bila kuwa na chama kuweka katiba nzuri yenye usawa ni muhimu sana kama mnaona mbele. Msikofanya hivyo mtatuletea utawala wa kijeshi na kuchokwa.
Tunakoelekea, na mabadiliko yanayotokea duniani, hilo haliepukiki.Tatizo la viongozi wengi ni kulewa madaraka bila kusoma nyakati. Msije hata siku mmoja kujidanganya kwamba Watanzania watabaki hivi hivi miaka hii ya mitandao.
Serikali isikojirudi na kutengeneza idara imara za kidemokrasia itatoa mwanya huko mbele kama zile nchi tunazoona wananchi wameona bora jeshi kuliko wanasiasa. Hivyo nashauri kutoka moyoni kabisa bila kuwa na chama kuweka katiba nzuri yenye usawa ni muhimu sana kama mnaona mbele. Msikofanya hivyo mtatuletea utawala wa kijeshi na kuchokwa.
Ccm wanaamini Katiba haina umuhimuTatizo la viongozi wengi ni kulewa madaraka bila kusoma nyakati. Msije hata siku mmoja kujidanganya kwamba Watanzania watabaki hivi hivi miaka hii ya mitandao.
Serikali isikojirudi na kutengeneza idara imara za kidemokrasia itatoa mwanya huko mbele kama zile nchi tunazoona wananchi wameona bora jeshi kuliko wanasiasa. Hivyo nashauri kutoka moyoni kabisa bila kuwa na chama kuweka katiba nzuri yenye usawa ni muhimu sana kama mnaona mbele. Msikofanya hivyo mtatuletea utawala wa kijeshi na kuchokwa.
👊Wanajesh hawafanyi kaz hiyo pasipo support ya wananchi. Wananchi mmeshindwa kutaka mabadiliko watawa support vip?
Kwa sasa hawawezi kukuelewa. Hata Ghadafi hakuwa kuelewa lakini jeshi lile lile lililomlinda lilimtoa balu.Tatizo la viongozi wengi ni kulewa madaraka bila kusoma nyakati. Msije hata siku mmoja kujidanganya kwamba Watanzania watabaki hivi hivi miaka hii ya mitandao.
Serikali isikojirudi na kutengeneza idara imara za kidemokrasia itatoa mwanya huko mbele kama zile nchi tunazoona wananchi wameona bora jeshi kuliko wanasiasa. Hivyo nashauri kutoka moyoni kabisa bila kuwa na chama kuweka katiba nzuri yenye usawa ni muhimu sana kama mnaona mbele. Msikofanya hivyo mtatuletea utawala wa kijeshi na kuchokwa.
Heheee.....Mungu aepushie mbaliWanasiasa wanaliamini jeshi lipo upande wao,
Siku watashangaa wamba hao wapo ikulu.