Msipomtaja Nape au January Makamba hampati usingizi?

Msipomtaja Nape au January Makamba hampati usingizi?

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2020
Posts
1,809
Reaction score
1,692
Umefika wakati CDM mjitafakali sana - why mnashinda mitandaoni kufuatilia wenzenu?
  • Msipomtaja Nape hampati usingizi;
  • Msipomtaja January Makamba chakula hakipiti kooni;
  • Msipoikashifu CCM mashamba yenu hayaoteshi mbegu na maduka yenu hukosa wateja?
 
Umefika wakati CDM mjitafakali sana - why mnashinda mitandaoni kufuatilia wenzenu?
  • Msipomtaja Nape hampati usingizi;
  • Msipomtaja January Makamba chakula hakipiti kooni;
  • Msipoikashifu CCM mashamba yenu hayaoteshi mbegu na maduka yenu hukosa wateja?
Wazee wa MADILI hao.
 
Umefika wakati CDM mjitafakali sana - why mnashinda mitandaoni kufuatilia wenzenu?
  • Msipomtaja Nape hampati usingizi;
  • Msipomtaja January Makamba chakula hakipiti kooni;
  • Msipoikashifu CCM mashamba yenu hayaoteshi mbegu na maduka yenu hukosa wateja?
Umeamka na mapombe machafu kichwani hala fu hujanywa supu. Wapi na lini Chadema wameweka kikao na kuwajadili hao watu? Ni nyie wenyewe huko CCM mnahangaika kuhujumiana halafu mnaisingizia Chadema. Utakuwa na mtindio wa ubongo wewe si bure.
 
Back
Top Bottom