Msipotoshe kuhusu jkt awamu ya tatu

mchlmmnl2

Senior Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
168
Reaction score
54
Hakuna jkt awamu ya tatu tumesomewa waraka wa kuhusu mkataba tuliopewa huku jkt na mwisho ni tar 27/9/2013 na wale wa diploma wameshaondoka
 
Hakuna jkt awamu ya tatu tumesomewa waraka wa kuhusu mkataba tuliopewa huku jkt na mwisho ni tar 27/9/2013 na wale wa diploma wameshaondoka

so wale waliochaguliwa kujiunga diplomaa e.g ualimu wameshaondokaa kambini! By the way hoja yako ina mashikooo ngoja tusubiri
 
Hakuna jkt awamu ya tatu tumesomewa waraka wa kuhusu mkataba tuliopewa huku jkt na mwisho ni tar 27/9/2013 na wale wa diploma wameshaondoka

Hii sio kweli maana watu wa diploma bado tu wapo makambini wote wameambiwa end tar 27
 
Makambi yoooote na wakuu wote wa hayo makambi wako chini ya wizara!
Kauli ya wizara anayeitoa bungeni ni waziri!

Kauli ya waziri imetolewa leo kwa niaba ya wizara!
Baada ya hii kauli ya waziri leo
makambi yote yatapewa waraka mpya!

Ni mtazamo tu msije mkanipiga mawe form six leavers!
Ila si mnajua tanzania kila kitu ni siasa???
-matokeo form four yatapangwa upya, si yalipangwa????
-Ni bora mle nyasi lakini ndege ya raisi itanunuliwa, si ilinunuliwa????
-mtalipa 200 kuvuka kigamboni asiyeweza apige mbizi, si mnalipa?????
Mbele ya siasa za kibongo hadi wataalam husika wanafyata!
So alichokisema mwanasiasa leo tegemeeni hicho!
 
Hakuna jkt awamu ya tatu tumesomewa waraka wa kuhusu mkataba tuliopewa huku jkt na mwisho ni tar 27/9/2013 na wale wa diploma wameshaondoka

Leo kwa masikio yangu nimemsikia waziri wa ulinzi anasema jkt intake ya 3 oktoba.....siwezi kukuamini wewe wakati kiongozi mkubwa kwenye wizara kashatamka
 
Afande hakuna kijana yeyote aliyeruhusiwa kutoka jkt mpaka mwisho wa depo.. Sasa unaposema waliochaguliwa diploma wamerudi sikuelewi afande mchlmmnl2
 
Last edited by a moderator:

hahahaaaa umenifurahisha xana
 
Hakuna jkt awamu ya tatu tumesomewa waraka wa kuhusu mkataba tuliopewa huku jkt na mwisho ni tar 27/9/2013 na wale wa diploma wameshaondoka

yawezekana awamu ya tatu na hata ya nne zakawepo,lakini zinaweza zisiwahusu form six leavers wanaotegemea kuanza chuo 2013/14
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…