Tanzania inawatesa sana, na mtateseka sana. Mbona hamlalamikii Somalia?Magufuli anaweza kuona kesho wakati kamwana hata ya jana hajayajua.Hata na rasilimali zote mlizo nazo, athi yenye rutuba na yote hayo...
NYINYI BADO NI LDC.
View attachment 1454784
KISA NA MAANA
View attachment 1454788
msiwa overdose tuBado wiki aliyowapa muheshimiwa Kabudi wataropoka Sana na bado sisi hatuhitaji kuambiwa matajir tukiish Kwenye maisha nafuu tu tumeridhika sio wao wanaambiwa matajir kilacku wanalia njaa tajiri gani analia nja?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnajilinganisha na Somalia bado?Tanzania inawatesa sana, na mtateseka sana. Mbona hamlalamikii Somalia?Magufuli anaweza kuona kesho wakati kamwana hata ya jana hajayajua.