ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Mbona iliwezekana mwaka jana karibu kila duka na kila nyumba ilikuwa hukosi sanitizer nje nadhani ilisaidia sana mwamko ule wa kunawa ungeendelea Basi ingependeza sana.
Kwanza hata watoto wetu wanaozaliwa wangekuta tuna utamaduni wa kunawa. Ndugu zangu mikono inashika uchafu mwingi sana. ukijaribu kunawa na sanitizer utaona uchafu ukitoka na kufanya mikono kuwa salama zaidi.
Naomba nitoe rai kwa wizara ya afya iangalie ni namna gani watakuja na kampeni ya kuhamasisha kila duka au ofisi iwe na ndoo ya maji tiririka pamoja na sanitizer kwa kufanya hivyo tutakuwa tumejikinga na corona pamoja na magonjwa mengineyo.
Kwa kuwa viongozi wa Serikali hii wengi wamepoteza mvuto mbele ya wananchi basi yafaa watumiwe watu wenye ushawishi ili wahamasishe watu kama vile Bakheresa, Asha-Rose Migiro, wasanii wa comed kina mtanga sijui masele, joti n.k (Wale ambao hawakuitwa kwenye makampeni ya uchaguzi mkuu hivyo bado hawana mgawanyo wa mashabiki).
Kuendelea kutumia viongozi hawahawa tulionao kina Dorothy, kina Makalla hakutasaidia kwa vile watu wamewadharau kidogo ndo maana matamko yao hayazingatiwi.
Kwanza hata watoto wetu wanaozaliwa wangekuta tuna utamaduni wa kunawa. Ndugu zangu mikono inashika uchafu mwingi sana. ukijaribu kunawa na sanitizer utaona uchafu ukitoka na kufanya mikono kuwa salama zaidi.
Naomba nitoe rai kwa wizara ya afya iangalie ni namna gani watakuja na kampeni ya kuhamasisha kila duka au ofisi iwe na ndoo ya maji tiririka pamoja na sanitizer kwa kufanya hivyo tutakuwa tumejikinga na corona pamoja na magonjwa mengineyo.
Kwa kuwa viongozi wa Serikali hii wengi wamepoteza mvuto mbele ya wananchi basi yafaa watumiwe watu wenye ushawishi ili wahamasishe watu kama vile Bakheresa, Asha-Rose Migiro, wasanii wa comed kina mtanga sijui masele, joti n.k (Wale ambao hawakuitwa kwenye makampeni ya uchaguzi mkuu hivyo bado hawana mgawanyo wa mashabiki).
Kuendelea kutumia viongozi hawahawa tulionao kina Dorothy, kina Makalla hakutasaidia kwa vile watu wamewadharau kidogo ndo maana matamko yao hayazingatiwi.