Msitarajie Chelsea kumfunga Man City leo

Kwenye zama za Sayansi na teknolojia,hayo matakataka ya utabiri unaonekana punguani tu,

Bado unaishi kwenye fikra za zama za Mawe,

Hata kama Chelsea atafungwa kweli basi sababu haiwezi kua ni huo upuuzi uliouandika hapa.
Wewe amini sayansi yako hakuna aliyekukataza
 
This is time for city
This is time for pep.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Chief we ni zaidi ya tambi tambi [emoji23]

Kongole kwako


Mimi Leo nawatoa kafara Manchester United ili simba ashinde..

Ukiona man u kafa basi simba kashinda
Hii kafara yako japo umechelewa kuitoa ila naiunga mkono.
 
Ushirikina upo [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…