kaka mmoja alikuwa akitoka ofisini gafla akaniambia ndugu twende tukale msosi pale rose garden
nkamwambia naupenda wa breakpoint akakataa kabisa m nikamwambia nishshe hapa
kumbe kijana jana usiku alikuwa kwenye mtaa wa watu akakutana na kabinti kamija akaomba namba ya simu anavyodai wakaonana wakatongozana lakini ilikuwa gizan kidogo
alimuahidi kumeet rosegarden gafla akamwambia njoo hapa millenium tower unaijua akasema hapana m nimetoka iringa sina mwezi..nkamwambia hao wale wale watchout ukienda opote niachie vitu vyako utamkuta posta ukifanya mchezo akasema subiri kaka..akamwambia basi tax sh ngapi akaambiwa alfu 2
akasema lipa ntakuja kukupa
binti akaenda na kashuka ;akalipa tax ikaondoka.sie tulikuwa kwenye parking tunamsubiria tuvuke kwenda millenium..jaman wanaume sie..jamaa akapiga simu kusema mbona afiki...akamwambia nimeshafika saa nyingi..nikamwambia si yule anaepokea akasema sio yule nkamwambia piga akapiga binti akapokea
akika dhambi kubwa inayotutesa ni tamaa ukiacha uongo..jamaa akapiga tena akika sikuamini akapitiliza na kwenda bar nikamwambia ni bindamu yule akasema kaka demu gani wewe yaani hata sijui ilikuwaje nkamwambia mwambie samahani nina haraka mpe na buku zake 2 jamaa akakataa katakata
so nawaomba najua mpaka ndoa mlolongo mrefu ila ukichagua jitahdi kuepuka mapenzi ya gizani mtakuja kukimbia watu tena na kujiongezea dhambi yamkini yule dada akuwa na nauli ya kurudi labda ...anyway
tuwe makini na hili
WANA JF