Msitu wa mauzauza wa Hoia-Baciu Romania

Waromania ni Wachawi sana na wanaamini sana katika Uchawi. Nadhani katika Europe ndiyo wanaongoza katika mambo ya Uchawi. Serikali inawatamua na wachawi inawatoza kodi. Wao utasikia huyu ni mchawi kizazi cha tatu, sijui mchawi kizazi cha kwanza. Wana hadi vyama vyao na hawajifichi.

Mkuu ushawahi kuona movie inaitwa drug me to hell? Nahisi na Wahispania wanga sana
 
Hatari sana
 
Duuh hapo kwenye kichefu chefu n hatar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…