Msiwateke wahindi tena

wambie wasikalili... kila zama na kitabu chake... wataliwa vichwa tu kanjibai!
 
Inakusaidia nini kwa maendeleo yako binafsi, kuteka watu ?!.
Mi nadhani ni ushamba fulani

Kwa upeo wako wewe unaona ni ushamba lakini vaa viatu vya huyo unaye mhisi mshamba...

Samahani umewai kusoma kitabu cha "THE GODFATHER" kimeandikwa na "Mario Puzo " ?

Kama ni Ndiyo, Nashawishika kwamba jawabu la hilo swali lako kuhusu maendeleo binafsi utakuwa umelipata...!

Karibu!
 
Kwa upeo wako wewe unaona ni ushamba lakini vaa viatu vya huyo unaye mhisi mshamba...

Samahani umewai kusoma kitabu cha "THE GODFATHER" kimeandikwa na "Mario Puzo "
Faida yake nini ?! Hebu angalia mtu kama Zakaria kwa tukio lile kosa lake nini ?! Kuuza waliuza wenyewe. Tena kwa idhini ya mahakama. Kosa lake nini?!
 
Faida yake nini ?! Hebu angalia mtu kama Zakaria kwa tukio lile kosa lake nini ?! Kuuza waliuza wenyewe. Tena kwa idhini ya mahakama. Kosa lake nini?!

Labda tujiulize kwanini Zakaria na siyo Joseph?

Serikali kupitia macho yake imeona kuna tatizo kwa Zakaria...

Tuiache Serikali yetu ifanye kazi yake....

Tuache kutunga story zisizokuwepo....

Shukrani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…