ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Ngoma imeachiwa jana iko katika platforms isikilize baadhi ya mistari nimeikubali anakwambia
Boss hana neno ila wapambe wana nguvu
Moyo una amani karume and my soul is free
Nawapoteza fasta kama joto ndani ya room ya AC
UKIAMBIWA UNAJUA HADI UNAKERA INABIDI UPUNGUZE UJUAJI
maana unaweza kujinyima afu mambo yakajipa
Boss hana neno ila wapambe wana nguvu
Moyo una amani karume and my soul is free
Nawapoteza fasta kama joto ndani ya room ya AC
UKIAMBIWA UNAJUA HADI UNAKERA INABIDI UPUNGUZE UJUAJI
maana unaweza kujinyima afu mambo yakajipa