Msolopa Investment Company Ltd (MICL)

Game Theory

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2006
Posts
8,546
Reaction score
855
Kama unadaiwa na serikali basi hawa ndio watakuja kukudai

 
Malizia basi mkuu Msolopa kwa nini awe kwenye heading? Ama naye anadaiwa na serekali?
 
Kama unadaiwa na serikali basi hawa ndio watakuja kukudai

Hapa sijaelewa vizuri;

Kama jana ilikuwa mwisho wa kuomba zabuni hiyo....je Tenda board ya Hazina ilikaa saa ngapi na kuipitisha Msolopa? au heading yako haijaka vyema?

Nikiacha hilo....! hicho wanachotaka kukifanya Haziza ni Ufisadi juu ya Ufisadi? Jamaani situliambiwa fedha za EPA zilikuwa na uhusiano na CIS (Mpango wa kuagiza bidhaa toka nje) au network yangu haikamati vyema hapa?
 
Mbona nilisikia siku moja Msolopa wakitangaza katika RFA notice kwa wadaiwa wa pesa hiyo? ina maana walipewa wao hiyo kazi? ni kama wiki mbili sasa! au nilisikia vibaya? Iweje watu waseme matokeo ya tenda hayajatangazwa?
 
NINACHOJUA ni kuwa wenye kumiliki magazeti haya ni walewale waliomiliki yale yaliyomkapenia Aliyeko madarakani hadi akaingia Ikulu.

Jamaa hawa wanatumika tu kama kinyago usoni mwa mtu halisi. Isitoshe jamaa hawa wameungana na makundi fulani ya kijamii na kiimani wakiwa na lengo la kuona kwamba jamaa harejei madarakani baada ya 2010, yaani, akienda kuona World Cup Afrika Kusini atakuwa na miezi 4 au 5 tu tena Ikulu. Baada ya hapo anakuwa raia wa kawaida.

Mkakati wao unasaidiwa na watu kadhaa Ikulu, taasisi za dini na kibiashara pamoja na jamaa wa nje ambao tayari walikwishaanza miradi kadhaa na kundi hilo linalompiga vita JK wakati baadhi yao wakiwa ndani ya serikali.
 

Huduma nafikiri hii post yako ina thread yake utakuwa umeziconfuse!
 
Mbona nilisikia siku moja Msolopa wakitangaza katika RFA notice kwa wadaiwa wa pesa hiyo? ina maana walipewa wao hiyo kazi? ni kama wiki mbili sasa! au nilisikia vibaya? Iweje watu waseme matokeo ya tenda hayajatangazwa?

Hii tenda ilishapewa kwa kampuni ya Msolopa wiki chache zilizopita.

 
More clarifications needed so to scutinise accordingly
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…