Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 1,278
- 797
MSOMERA PAMENOGA, WAMASAI WAENDELEA KUISHUKURU SERIKALI
Jamii ya wamasai waliohama Ngorongoro wafurahia Maisha ya Msomera.
Wakazi waliohama kwa hiari yao kutoka katika eneo la Hifadhi ya Ngorongoro kuhamia kijiji cha Msomera, Handeni mkoani Tanga wanaendelea na shughuli zao za kawaida ikiwemo ufugaji katika mazingira bora zaidi.
#SamiaAPP
#KaziIendelee
Jamii ya wamasai waliohama Ngorongoro wafurahia Maisha ya Msomera.
Wakazi waliohama kwa hiari yao kutoka katika eneo la Hifadhi ya Ngorongoro kuhamia kijiji cha Msomera, Handeni mkoani Tanga wanaendelea na shughuli zao za kawaida ikiwemo ufugaji katika mazingira bora zaidi.
#SamiaAPP
#KaziIendelee