Msomi anapokuwa mwanasiasa


Mkuu,
Kumbe SIASA inamaanisha SI-HASA?
Kazi kweli kweli.
 


Kwa mwendo huo hatutafanikiwa kwa sababu wanasiasa nao wameanza kuwa wasomi. Angalia mama Nagu, Mzindakaya, Nchimbi na risti inaendelea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…