msomi feki

TANZANNIA

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2015
Posts
1,047
Reaction score
385
jamaa mmoja kavamia semina ya wasomi iliyofanyika ubungo plaza jumamosi iliyopita,waliohudhuria wakaanza kujitambulisha
wa 1;naitwa anna toka sua nasoma agriculture science mwaka wa kwanza
wa 2:naitwa scola niko udsm nasoma public relation mwaka wa tatu
wa 3:mimi ni alex niko udom nasoma computer science mwaka wa pili
ikafika zamu ya jamaa huku akiwa na wasiwasi akasema
naitwa wille niko tanesco nasoma mita mwaka wa nne.....wutu wote haaaaaaaaaaaa.....!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…