SubiriJibu
JF-Expert Member
- Jun 26, 2009
- 1,805
- 1,876
Ndiyo mahakama inayoongoza kukatisha tamaa, siyo kwa kutotoa haki, hapana.
Court of Appeal ni mabingwa wa kutoa haki. Tabu yao ni kwamba ukiwa na kesi pale lazima uhesabu miaka miwili ndipo usikilizwe.
Matokeo yake baadhi ya majaji Mahakama Kuu (High Court) hulipua maamuzi yao wakitarajia wengi watakata tamaa kukata rufani Court of Appeal kwa ucheleweshaji.
Court of Appeal ni mabingwa wa kutoa haki. Tabu yao ni kwamba ukiwa na kesi pale lazima uhesabu miaka miwili ndipo usikilizwe.
Matokeo yake baadhi ya majaji Mahakama Kuu (High Court) hulipua maamuzi yao wakitarajia wengi watakata tamaa kukata rufani Court of Appeal kwa ucheleweshaji.