Mgambilwa ni mntu
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 2,869
- 3,187
Afrika ni Bara la pili kwa ukubwa duniani pamoja na kuwa na wakazi wengi huku likiwa linakaliwa na Waarabu, pamoja na Weusi (Blacks/Negro) wakitenganishwa na Jangwa la Sahara. Waafrika Weusi (Hamites, Negro, Bantu, Nilotes, San na Pygmy) wamekuwa wakiishi kwa muda mrefu katika Ukanda wa Tropiki (Hari), wenye joto jingi kwa mwaka mzima. Eneo hilo linalokaliwa na Blacks, lina mazingira magumu yaliyolitofautisha kabisa na Mabara menzake ya "Dunia ya Zamani (Old World - Asia & Europe)." Mazingira hayo magumu ni:
Hata hivyo, kuna maeneo mengi madogo madogo barani Afrika, yenye sifa nyingi nzuri almost at par na maeneo bora ya Old World (Asia & Europe). Maeneo hayo yana msongamano mkubwa wa watu kutokana na kuzalisha chakula kwa wingi na kutokuwepo magonjwa mengi.
Maeneo ya vijijini yanayoongoza kwa msongamano mkubwa wa watu barani Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara ni: Biafra (Waigbo) ikifuatiwa kwa karibu na Kilimanjaro (Wachaga). The Igbo are considered the brightest in Africa. Igbos Are The Most Brilliant Black Africa Race –US Report
Kwa Tanzania, msongamano mkubwa wa wakazi vijijini ukiacha Kilimanjaro uko: Arumeru (Wameru), Muleba (Wahaya), Rungwe (Wanyakyusa), Pemba (Wapemba), Ngara (Waangaza), Unguja (Watumbatu), Lushoto (Wasambaa), Ileje (Wandali), Morogoro (Waluguru), Buhigwe (Waha), Ukerewe (Wakerewe & Wakara), Newala (Wamakonde).
Igboland
Chaggaland

- Uwepo wa joto jingi kwa mwaka mzima (kulipelekea energy depletion)
- Uwepo wa mvua chache na zisizotabirika (unreliability) katika maeneo mengi.
- Uwepo wa maeneo machache yenye rutuba ya kutosha.
- Uwepo wa Ugonjwa hatari wa malale kwa mifugo (nagana) na binadamu (sleeping sickness).
- Uwepo wa Ugonjwa hatari wa Malaria.
- Kuchelewa kusambaa kwa teknolojia ya chuma.
Hata hivyo, kuna maeneo mengi madogo madogo barani Afrika, yenye sifa nyingi nzuri almost at par na maeneo bora ya Old World (Asia & Europe). Maeneo hayo yana msongamano mkubwa wa watu kutokana na kuzalisha chakula kwa wingi na kutokuwepo magonjwa mengi.
Maeneo ya vijijini yanayoongoza kwa msongamano mkubwa wa watu barani Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara ni: Biafra (Waigbo) ikifuatiwa kwa karibu na Kilimanjaro (Wachaga). The Igbo are considered the brightest in Africa. Igbos Are The Most Brilliant Black Africa Race –US Report
Kwa Tanzania, msongamano mkubwa wa wakazi vijijini ukiacha Kilimanjaro uko: Arumeru (Wameru), Muleba (Wahaya), Rungwe (Wanyakyusa), Pemba (Wapemba), Ngara (Waangaza), Unguja (Watumbatu), Lushoto (Wasambaa), Ileje (Wandali), Morogoro (Waluguru), Buhigwe (Waha), Ukerewe (Wakerewe & Wakara), Newala (Wamakonde).
Igboland
Chaggaland
