Msongo wa mawazo kwa watumishi waliopo mbali na wenzi kwa sababu ya Utumishi wa Umma

Msongo wa mawazo kwa watumishi waliopo mbali na wenzi kwa sababu ya Utumishi wa Umma

Paroko2024

Member
Joined
Oct 20, 2023
Posts
5
Reaction score
6
Wakuu mbalimbali JF imekuwa msaada sana kutafta changamoto kiwasemea wasokuwa na sauti.

Kuna hii hapa, " bunge lililopita Mhe waziri wa utumishi Simbachawene, aliona kilio cha maelfu ya watumishi ambao wapo mikoa tofauti na wenzi wao, na akafafanua imechangia kuzorota Kwa usitawi wa jamii, magonjwa, migogoro nk.

Lakini mpaka Leo mwongozo juu ya hili kimya, ukienda ofsi za mwajiri wanakwambia hatujapata maelekezo, Mimi kwakweli ndoa ipo msalabani, mke wangu daily ananivuriga, utulivu kazini unaporomoka Kila kukicha.
 
Wakuu mbalimbali JF imekuwa msaada sana kutafta changamoto kiwasemea wasokuwa na sauti.

Kuna hii hapa, " bunge lililopita Mhe waziri wa utumishi Simbachawene, aliona kilio cha maelfu ya watumishi ambao wapo mikoa tofauti na wenzi wao, na akafafanua imechangia kuzorota Kwa usitawi wa jamii, magonjwa, migogoro nk.

Lakini mpaka Leo mwongozo juu ya hili kimya, ukienda ofsi za mwajiri wanakwambia hatujapata maelekezo, Mimi kwakweli ndoa ipo msalabani, mke wangu daily ananivuriga, utulivu kazini unaporomoka Kila kukicha.
Mkeo ni mtumishi pia Eddy?
 
Wakuu mbalimbali JF imekuwa msaada sana kutafta changamoto kiwasemea wasokuwa na sauti.

Kuna hii hapa, " bunge lililopita Mhe waziri wa utumishi Simbachawene, aliona kilio cha maelfu ya watumishi ambao wapo mikoa tofauti na wenzi wao, na akafafanua imechangia kuzorota Kwa usitawi wa jamii, magonjwa, migogoro nk.

Lakini mpaka Leo mwongozo juu ya hili kimya, ukienda ofsi za mwajiri wanakwambia hatujapata maelekezo, Mimi kwakweli ndoa ipo msalabani, mke wangu daily ananivuriga, utulivu kazini unaporomoka Kila kukicha.
Acheni kazi wote mke nyumbani
 
Back
Top Bottom