Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
Mkuu sio yeye bali "mjani..." wawezaje muamini mtu aliyekuwa akimuabudu EL na mwisho wa siku akamtusi kana kwamba si yeye aliyetolewa shamba, akakogeshwa, akavishwa, akapakwa mafuta, akatolewa tongotongo... akaishia kumtusi EL baada ya kuona wa kabila yake yuko mezani...Yaani jamaa ni mjinga sana, hajui hata kiapo alichokula ni kiapo cha nini? Kwanza kumjadili au kumlaumu mtu kama huyo ni ukosefu wa akili na upumbavu, nakiri na mimi nimefanya upumbavu.
Swali ni rahisi tu mkuu, huo utii unaelekezwa kwa rais aliyeko madarakani au kwa mwendazake? Jitulize, vuta pumzi, hata ukiweza kunywa maji, alafu utoe jibu!rais aliyepo alikuwa makamu wa mwendazake.
kama walimtii mwendazake,walimtii na watamtii na huyu pia.dharau kwa mwenda zake ni dharau kwa aliyepo pia,ila kwa namna ambayo mjinga hawezi elewa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naona hii awamu ya Samia itaisha bahati mbaya kama ilivyokuja kibahati mbaya, huko bungeni mpaka wamalize kubishana hii mipasho yao waanze kujadili mambo ya msingi itakuwa ni September 2025.
basi hajielewi.Mbunge wa Geita vijijini mh Msukuma amesema kuna wabunge wanadai kumkosoa hayati Magufuli siyo nongwa lakini sisi tunasema ni nongwa kwa sababu wabunge tumekula kiapo cha utii.
Msukuma alikuwa anampa taarifa mbunge wa makambako mh Jah people aliyesema wabunge wameingia bungeni kwa nguvu ya hayati Magufuli na wasaidizi wake mama Samia na mh Majaliwa Jah people amesisitiza waliokosa teuzi wawe wavumilivu kwani wabunge ni wengi vyeo ni vichache.
Hayo ni majibu murua kwa wabunge waliopitishwa bila kupingwa January Makamba na Nape Nnauye.
Ramadhan Kareem!
Hii ni dalili kuwa baadhi ya wabunge hawajitambui na hawajui hadhi ya bunge. Darasa la saba walio bora kuliko maprofesa.Bunge linaweza kumuondoa waziri mkuu na rais . Swala la utii labda kwa mungu sio kwa binadamu.
Umenena vizuri mkuuNyie ndo huwa mkiingia anga za watu mnakula za kutosha, kumtii Mungu ni kwny bible ila kwny katiba ipo kumtii mkuu wako. Kama unajua kwmb hakuna mkubwa zaid ya Mungu bs achana na kaz zinazokulazimisha kula kiapo.
Mimi sibishani na nyie wa darasa la nne!!! Nawaona kama majambazi tu mnaotumiwa kama condom!!
Mavi ya kunguni mtu aliyeenda shule ataandika upuuzi huu. Nyie ndiyo watandia matukio na waluoshindwa kufikia malengo. Mmebaki kubweka tu.Mimi sio wa darasa la nne, mie ni matawi ya juu huku niliko nakula bata tu; wewe na wenzio hamuwezi kufika huku mpaka mfe!! Nendeni kwenye nyungu zenu na kunywa dawa ya BUBIJI aliyowaachia boss wenu!
It is a pity mnaendekeza hizi takataka za darasa la saba! These are rejects kwa watu wanaojielewa. Hawapashwi kuwa kwenye jumba kama lile,.... these re rubbishesMbunge wa Geita vijijini mh Msukuma amesema kuna wabunge wanadai kumkosoa hayati Magufuli siyo nongwa lakini sisi tunasema ni nongwa kwa sababu wabunge tumekula kiapo cha utii.
Msukuma alikuwa anampa taarifa mbunge wa makambako mh Jah people aliyesema wabunge wameingia bungeni kwa nguvu ya hayati Magufuli na wasaidizi wake mama Samia na mh Majaliwa Jah people amesisitiza waliokosa teuzi wawe wavumilivu kwani wabunge ni wengi vyeo ni vichache.
Hayo ni majibu murua kwa wabunge waliopitishwa bila kupingwa January Makamba na Nape Nnauye.
Ramadhan Kareem!
Nyie mmefikia malengo yenu ya kujenga NYUNGU na kunywa bubiji!! Sasa huu ni utawala wa sheria tuone mtajificha wapi nyie majizi!!Mavi ya kunguni mtu aliyeenda shule ataandika upuuzi huu. Nyie ndiyo watandia matukio na waluoshindwa kufikia malengo. Mmebaki kubweka tu.