Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,211
- 3,611
Mayaya Jembeulaya – Harooo… hapo ni Ghasia?
Inspekta Marwa – Ndiyo, Fidi Fosi mkoa wa Geita, mimi Inspekta Marwa, una shida gani?
Mayaya Jembeulaya – Nimetoka Dsm nimekuta mtu anahujumu uchumi wa taifa, baghosha!
Inspekta Marwa – Anahujumuje uchumi wa taifa?
Mayaya Jembeulaya – Anaitwa Mangi, anauza haja klubwa kwa shs.300 na haja ndogo kwa shs. 200, tafuta nauli ya wawili nikupeleke umkamate.
Inspekta Marwa – Wewe umenunua?
Mayaya Jembeulaya – Doho… hana iefudii.
Tii tii tii… simu imekatika.
Tukio siyo halisi ni Chit-Chat kuchagiza mabadiliko ya lugha katika sehemu za huduma ya maliwato ya umma.
Majwala
Inspekta Marwa – Ndiyo, Fidi Fosi mkoa wa Geita, mimi Inspekta Marwa, una shida gani?
Mayaya Jembeulaya – Nimetoka Dsm nimekuta mtu anahujumu uchumi wa taifa, baghosha!
Inspekta Marwa – Anahujumuje uchumi wa taifa?
Mayaya Jembeulaya – Anaitwa Mangi, anauza haja klubwa kwa shs.300 na haja ndogo kwa shs. 200, tafuta nauli ya wawili nikupeleke umkamate.
Inspekta Marwa – Wewe umenunua?
Mayaya Jembeulaya – Doho… hana iefudii.
Tii tii tii… simu imekatika.
Tukio siyo halisi ni Chit-Chat kuchagiza mabadiliko ya lugha katika sehemu za huduma ya maliwato ya umma.
Majwala