katika gem mara msuli wa mguu ama mbavu unatight na huwezi kuendelea au ku move yaani ikikutokea wewe hutatamani tena kutongoza demu utaaadhirika sana -sababu ni nini .yaani unahangaika kama katuni wakati mhusika nae ameanza kupata moto soo sana sipendi kukumbuka
Mkiambiwa Acheni Kupiga Gitaa La Solo Huwa Mnakuja Na Kuanza Kubisha, Gitaa La Solo Mwachieni Diblo Dibala au Fundi Wangu Mwingine Wa KikongoMani Maarufu Kama Darik Moko.
fafanua kidogo mkuu kwa faida ya umma wote wa JF na nje ya JF.
ni ombi tu lakini.
Na Labda HUJAELEWA Wapi? Hii Ndio Shida Ya Kusoma Shule Za Kata Ambapo Athari Zake Ndio Kama Hizi kwa "KINABO" Kama Huyu Aliyebobea.
AiseeeeMkiambiwa Acheni Kupiga Gitaa La Solo Huwa Mnakuja Na Kuanza Kubisha, Gitaa La Solo Mwachieni Diblo Dibala au Fundi Wangu Mwingine Wa KikongoMani Maarufu Kama Darik Moko.