Msuli wa chuo

Yesar

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2013
Posts
300
Reaction score
17
Ufafanuzi wa course na misuli yake
1.education-leo unatoka club kesho una paper alafu no kusapua
2-doctor of medicine-hawa mpaka neurone zinaungua
3-engenearing-msuli kijiji yani all eyes on you
4-economics-yani unaishi kwa stres na unakuwa wa kwanza kuwah chuo kujisapua 5-BCOM-HAKATWI MTU
6-LAW-lazima ukomae na kulala masaa 3 kwa siku
7-mass communication-hata wakienda na laptop wao n fb,skype,twiter na jf mh ebu weka na yako 2 gawane mau2ndu
 

acha utoto!!
 
Mulugo kawaharibu sana
 

hivi nyie madogo mnaibukia wapi?
 

Mods wafungulieni watoto jukwaa leo wajadili mambo yao kwa uhuru. Vinginevyo basi mwe mnafunga nyuzi za utoto kama hizi
 
Mods wafungulieni watoto jukwaa leo wajadili mambo yao kwa uhuru. Vinginevyo basi mwe mnafunga nyuzi za utoto kama hizi

Kweli mkuu hata wewe ulivyokuwa certificate pale MUCCoBS hukuwa na mambo ya kitoto kama huyu dogo
 
 

Ndo matatizo ya kuvutia sigara m...nduni
 

Rubbish..
 
Mweh!! Amakweli ni K-i-l-a-z-a

 
Kweli mkuu hata wewe ulivyokuwa certificate pale MUCCoBS hukuwa na mambo ya kitoto kama huyu dogo

hahaahaa mpigamsuli hujamsamehe huyo jamaa tangia siku ile, duuh kweli wee ni noumer..! By the way jamaa alikuwa lectuer hapo muccobs !!
 
Last edited by a moderator:
Hizi Bangi na miraa mnayokula ni balaa tupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…