Msumbiji imekumbwa na maradhi yapi?

Mzee Mohammed usihuzunike sana Mwanadamu hubadilika, Wana usalama wetu wapo kazini kuangalia the main source Muda utatoa majibu sahihi Tuwe na subira tu japo ni Sad sana
Daniel ahsante sana.
 
Ni kweli mkuu,nyumba hiyo anaishi jamaa wa kiarabu na familia yake,kwa nje kuna vijana wanauza vitanda vya chuma.Mwaka jana Joachim Chisano na maafisa wa usalama wabTanzania na Msumbiji waliitembelea nyumba hiyo.
 
Ni kweli mkuu,nyumba hiyo anaishi jamaa wa kiarabu na familia yake,kwa nje kuna vijana wanauza vitanda vya chuma.Mwaka jana Joachim Chisano na maafisa wa usalama wabTanzania na Msumbiji waliitembelea nyumba hiyo.
Jumbe unaweza kunipikia picha hiyo nyumba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…