Msumbiji: Rais Filipe Nyusi awafukuza kazi Mawaziri sita

Msumbiji: Rais Filipe Nyusi awafukuza kazi Mawaziri sita

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
1646301906946.png

Rais wa Msumbiji, Filipe Nyusi amewatoa kwenye nafasi zao Mawaziri sita wakiwemo Waziri wa Fedha na Waziri wa Rasilimali za Madini na Nishati. Ni Mabadiliko makubwa ya pili kufanywa katika Baraza la Mawaziri katika miezi ya hivi karibuni

Ofisi ya Rais haijatoa ufafanuzi wowote wa Mawaziri hao kuondolewa kazini, na haijaweka wazi ni lini nafasi zilizoachwa wazi zitajazwa. Novemba Mwaka 2021, Rais Nyusi aliwabadilisha Mawaziri wa Ulinzi na Mambo ya Ndani

=======

Mozambican President Filipe Nyusi has sacked six ministers, including the finance, in a major reshuffle announced by the president's office.

The announcement was made in a statement that did not offer any reasons for the dismissal of the ministers or give indications of when the positions would be filled.

It is the second major reorganisation of the cabinet in recent months.

Others sacked included the ministers of mineral resources and energy, fisheries, Inland waters and fisheries and public works, housing and water resources.

Political observers in the country said they were not surprised by the sackings.

In November, President Nyusi sacked and replaced the ministers of defence and interior

Source: BBC
 
Hii ndio watu wanapenda kusikia
Huyu nyusi atapendwa sana,
Lakini eti waziri aachwe afanye kazi kitaaluma aah hapana,
kakosea kidogo timua uone wapiga kura watakavyokusifu yaani ni ujinga juu ya ujinga,
Kutawala afrika rahisi sana
 
Aje na kwetu kuna jini kata umeme limedekezwa na BiM.
Njoo utuondolee. Vijana wa kuhomelea mavyuma hawana ajira sababu ya hili parangoso.


Rip JPM

Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
 
Amigo kwintu teeh kwintu nontee nowee Amigo
Hii ni lugha gani!?


Mi kaniacha hoi alipomtimua João Machatine,yaani juzi waziri katembelea ujenzi wa daraja lililobomolewa na mvua na kulalamika ya kuwa kuna ma engineer wabovu,jana Nyusi kamtema (hahahahaha)
Nalog off
 
Back
Top Bottom