Msumbiji Wamekodisha Bandari ya Nacala Kwa Malawi & Zambia Kwa Miaka 100. Tanzania Kupoteza Mteja namba 2 wa Dar Port

Kila siku nawaambia hii Nchi Ina shida kubwa sana ya watu wa planning na Wachumi wanaofikiria Kimkakati kujua kipi kianze na kifanyike wapi na kipi kifuate.

Mpaka Sasa hizo Barabara unazotaja zikikamilika tuu,Zambia tunampoteza
Siyo kweli tunaye Prof Lipumba ambaye ni Mchumi wa Dunia

Tunaye Dr Mwigullu PhD ambaye ni Daktari wa Uchumi

Upo wewe Cheti feki unayesaidia kuwakumbusha kumbusha

Kuwa na Amani Bwashee 😃😃
 
Tutakuja kushituka hizo Bandari zimesalia kuhudumia Mikoa yetu pekee,washindani Wetu wamechukua keki.

Lazima tuingie kufanya mambo ya umafia Kwa maslahi ya Nchi
tunapoteza muda kujadili mambo ya kijinga, sijui wamasai maridhiano walawiti goli la yanga, tunaacha kujadili mstakabali mzima wa taifa, tunawaachia akina kafulila kuliga porojo, tangu prof wa mzumbe afe hamna tena anaejadili uchumi

Lissu anawaza hongo walomvunja mguu, maridhiano wasiojulikana hana point hatamoja ya kiuchumi
 
tunapoteza muda kujadili mambo ya kijinga, sijui wamasai maridhiano walawiti goli la yanga, tunaacha kujadili mstakabali mzima wa taifa, tunawaachia akina kafulila kuliga porojo, tangu prof wa mzumbe afe hamna tena anaejadili uchumi
Kwanza ukiangalia hata hii ramani hapa chini,ni wazi Nacala na Beira port zikipata reli hata Mizigo inayoenda Lubumbashi tutapoteza
 
Malawi hawana hela wala uwezo wa kujengs reli hata kilomita 20

Pili kuna tishio la vita Mozambique la magaidi ni mwehu pekee aweza Ingia kichwa kichwa kuchukua bandari Mozambique
 
Zambia ana reli ya TAZARA kashindwa kuitumia. Ni muujiza gani atafanya akijenga mpya toka Mozambiqe?

Malawi hana uzoefu wa kuendesha bandari. Hata akijenga haitamlipa. Maana mtumiaji ni yeye peke yake. Ajifunze kwa Eritrea
 
Hatari sana!
 
Zambia anarelinya TAZARA kashindwa kuitumia. Ni muujiza gani atafanya akijenga mpya toka Mozambiqe?

Malawi hana uzoefu wa kuendesha bandari. Hata akijenga haitamlipa. Maana mtumiaji ni yeye peke yake. Ajifunze kwa Eritrea
Kwa nini ahangaike na reli ambayo inazunguka na Iko inefficient? Ndio maana anageukia shorter distance na wanaompa hiyo favor ni Mozambique ambao ndio wanataka kuchukua biashara ya logistics na sio Zambia.
 
Zambia anarelinya TAZARA kashindwa kuitumia. Ni muujiza gani atafanya akijenga mpya toka Mozambiqe?

Malawi hana uzoefu wa kuendesha bandari. Hata akijenga haitamlipa. Maana mtumiaji ni yeye peke yake. Ajifunze kwa Eritrea
Sahihi Zambia anayo tayari Tazara na yeye ndie mwenye hisa nyingi ambaye hutoa kiongozi mkuu ajenge ingine miujiza
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nimechota madini hapa sasa ngoja nikachingulie kwanza ugomvi wa shishi food
 
Malawi hawana hela wala uwezo wa kujengs reli hata kilomita 20

Pili kuna tishio la vita Mozambique la magaidi ni mwehu pekee aweza Ingia kichwa kichwa kuchukua bandari Mozambique
kampuni ya total imeingia mkataba na jeshi la rwanda kulinda uwekezaji nchini msumbiji hao magaidi washadhibitiwa, kusema malawi haina hela sio kweli hela haipimwi kwa per km, malawi ina bandari kavu dar tangu enzi ya nyerere
 
Ikifanyika hivyo ndio itakuwa tayari wametumaliza, lakini kwa jinsi ninavyojua hizi nchi zetu za kiafrika utakuta ni hadithi za furahisha genge.
 
Hatari Sana hapo.
Ingawaje mpango huo wa Malawi na Zambia kuutekeleza itachukua Muda kûtokana na umaskini wa nchi zào.

Ungeshauri pia, serikali iweke vitengo vya Siri vya kuvuruga mipango ya nchi shindani au yenye Nia ya kuharibu mipango na utekelezaji WA miradi yetu. Kama wafanyavyo mabeberu.

Tusipovamia tutavamiwa.
Tusipowawavuruga watatuvuruga
 
Sisi wenyewe hapa hiyo Southern Corridor imeshazidiwa na msongamano wa Mizigo ilitakiwa tuwekeze ili angalao iwe Dual Carriageway Dar Tunduma.
 
Pdd welding watakua wanapakia mangamia tu toka Oman.

Yanga Bingwa tena.
 
Usichokijua Ni kwamba mizigo mingi iliyokua ikishushiwa Bandari YA Dar inashushiwa banndari ya Tanga Bandari ya Tanga sasaiv Meli nyingi zinashushia mizigo hapo pia Kuna mizigo Mingi inayosafirishwa kwenda Congo ikiwemo Na sulphur ambayo previously ilikua inashushiwa Dar port
 
Kwahiyo wanakodosha bandari ili wao wakalale usingizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…