Msururu wa magari Kilimanjaro je ni indicator ya kuwa wachaga kwao mambo safi???

mumagoma

Senior Member
Joined
Jan 15, 2014
Posts
186
Reaction score
95
Wiki lililopita kunekuwepo na trend ya habari kwenye media kuwepo na msururu mkubwa wa magari yakitikea sehemu mbalimbali kurejea arusha na Kilimanjaro

Watanzania walio na fikra ya kuona sentimeter moja mbele badala ya kuona mbali wanadai kuwa eti watu wa Kilimanjaro ni wachapa kazi eti wameendana na speed ya awamu ya tano,wao kwao vyuma vimelegea havijakaza,je ni kweli msururu wa magari iwe ni indicator kuwa uchumi Kwa webzetu wachaga awamu hii ni safi...??

Toa maoni
 
Akili za Mchumi wa UD hiyo a.k.a Jk ndo alisemaga ati Foleni ya magari mjini ni 1 kati ya indicator za Economic development,hahah
 
Akili za Mchumi wa UD hiyo a.k.a Jk ndo alisemaga ati Foleni ya magari mjini ni 1 kati ya indicator za Economic development,hahah



Vyasaka akili zenu ni za kimasikini sana!


Tufanye bei ya gari ni milion 8 au 10.

Hapo mtu anamudu maisha mjini na familia.

Ameweka mafuta anaenda kwao Moshi kufanya sherehe.


Bado anarudi mjini kuendelea na biashara yake.


Huyu bado ni masikini?

Kati ya aliye na gari na mwenye baiskeli, ni yupi tajiri; mathalani, gari inapata service na ipo katika hali nzuri?

Huyu ni masikini?

Sisi ni wachapa kazi; si bure, na kwa mila zetu, mtu asiyetafuta pesa ni kishoia na atadharaulika, na hakuna Mchagga anayependa hilo limtokee iwe wa kiume au wa kike kazi ni kazi kwenda mbele.

Vyasaka mlie tuu, uchumi wa nchi upo mikononi mwetu.

Kama upo Dar jiulize ni kwa nini foleni haipo kwa wakati huu, na imehamia Arusha na Moshi?

Jiulize kwanini biashara Dar imedoda wakati huu?

Jibu ni kwamba Wachagga tupo kwetu.
 
Kula like wape maneno agiza kill naja lipa [emoji23]
 
Kishoia (hili neno Kilimanjaro ni Kiboko cha fimbo nyembamba kwenye nyama ya sikio lako)
 
KASKAZINI ITABAKI KUWA KASKAZINI TU HUKU VYUMA VIMELEGEA MNO HADI TUNAOMBA ANGALAU SPANNER NA SCREW DRIVER TUKAZE ANGALAU KIDOGO
 
SAS WANANCHI WA KSAIKAZINI HAKIKISHENI MNTAUMIA MDA HUU KUPANGA MIKAKATI YA KUHAKIKISHA CHADEMA MWAKA HUU 2018-20 TUNAKAMATA DOLAA.PESA TUNAZO HIVYO TUWEKE UTARATIIBU WAUCHANGIA AMPENI MBAIMBALI KIMYAKIMYA ILA CHADEMA ISONGE MBELE..TUHAKIKISHE MPANGO WETU WAKUHAKIKISHA VITI MAALUMU NA NAFASI ZINGINE ZINAENDA KWA MTU ANAYETOKEA HUKO INGAWA ANAWEZA KUWA ANAISHI SUMBAWANGA NK.KAMA TULIVYOFANYA KWA MINJA MOROGORO.KWA KUFANYA HIVI CHAMA KITAKUWA MWAKA HYUU2018

KASKAZINI ITABAKI KUWA KASKAZINI TU HUKU VYUMA VIMELEGEA MNO HADI TUNAOMBA ANGALAU SPANNER NA SCREW DRIVER TUKAZE ANGALAU KIDOGO
 


Huna akili kyasaka
 
Wachaga ni level nyingine bwana! hata umbane vip yeye anasaka manoti kwa plan B hawezi filisika milele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…