Mchezaji anayeng'ara kwasasa hivi Taifa stars Simon msuva aliifungia bao timu yake ya el jadida walipokutana na miamba na mabingwa wa CAF klabu ya Raja Casablanca.
Katika pambano hilo klabu ya Casablanca iliibuka na ushindi wa goli 2-1 huku bao pekee la el jadida likiwekwa kimiani na Msuva.
Casablanca imechukua ubingwa wa afrika mara mbili katika miaka hii 3 hivyo msuva kuwafunga ni fahari na inawezekana msimu ujao akasajiliwa na miamba hao.
Jamani ata kama ndo uzalendo basi tuwe tunatumia lugha nzuri kwenye kupamba kwetu, sasa msuva awalalisha na viatu kivipi ilhali team pinzani imeshinda 2-1
Jamani ata kama ndo uzalendo basi tuwe tunatumia lugha nzuri kwenye kupamba kwetu, sasa msuva awalalisha na viatu kivipi ilhali team pinzani imeshinda 2-1
Tuanche unywanywa.. kiukweli jamaa ana jitahidi, hana kipaji kikubwa kulinganisha na mafundi kibao tuliobahatika kuwa na, kina boban, chuji n.k ila ana njaa ya mafanikio, anaonesha ana nia na tamaa ya kufika sehem fulan.. anafaa kupewa pongezi kwa kile anachokifanya katika career yake..