py thon
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 2,476
- 4,448
Mshambuliaji wa Yanga Simon Happygod Msuva aliyetimkia Morocco kujiunga na moja ya miamba ya soka barani Africa amefunguka na kusema matarajio yake ni kwenda mbele zaidi na ukizingatia nchi ya morocco imepakana na mataifa 2 ambayo ni Spain&Ufaransa na wachezaji wengi wanaocheza ligi ya Morocco haswa vilabu vikubwa husajiliwa ufaransa lakini Msuva matarajio yake ni kucheza La liga