Sijui kuna nini kilichofichwa kwenye hii lugha ya kimalkia (English).
lugha zote duniani mswahili anaweza kuongea paspo wasiwasi nikamsikiliza vizuri lakini si kiingereza!
Yaani mswahili punde anapoanza kumimina ngeli walahi huwa napatwa na wasiwasi kumsikiliza kabisaa kiasi kwamba hadi huwa nakosa pointi zake kwa kupoteza umakini.
Ni nyerere na Kikwete pekee ambao walikuwa wakiongea kimalkia na kuwa na aman ninapowasikiliza!
Wengine wakianza tu!!!! U know... this...is...near to me Welcome...... kwakweli huwa napata tabu sana ku-gain point! Sijui hili tatizo lipo kwangu tu au na kwenu wadau!!!!
lugha zote duniani mswahili anaweza kuongea paspo wasiwasi nikamsikiliza vizuri lakini si kiingereza!
Yaani mswahili punde anapoanza kumimina ngeli walahi huwa napatwa na wasiwasi kumsikiliza kabisaa kiasi kwamba hadi huwa nakosa pointi zake kwa kupoteza umakini.
Ni nyerere na Kikwete pekee ambao walikuwa wakiongea kimalkia na kuwa na aman ninapowasikiliza!
Wengine wakianza tu!!!! U know... this...is...near to me Welcome...... kwakweli huwa napata tabu sana ku-gain point! Sijui hili tatizo lipo kwangu tu au na kwenu wadau!!!!