Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Umesoma katika hizi shule za "saint Government" miaka yote na unaomba Mungu kwa lugha ya Kiingereza?? Ulianzaje na uliwezaje?
Nilisoma sehemu kwamba, ukiona Mswahili anaomba Mungu kwa lugha ya Kiingereza, basi jua mtu huyo ana SHIDA NDOGO au MATATIZO MACHACHE.
Kwa wanaojua namna Waswahili wanavyotaja mambo mengi kwenye maombi yao wanaelewa kinachomaanishwa hapa.
Eti kuna mtu huko, aliomba huku akisema; " OH LORD, I KNOW YOU ARE NOTHING WITHOUT ME AND YOU NEED MY HELP" mtu aliyekuwa kando yake alipomuuliza maana ya maombi yake akasema, " EEH MWENYEZI MUNGU, MIMI SI KITU BILA WEWE NA NINAHITAJI MSAADA WAKO" JAMANI JAMANI!!!
Huyu mwingine alisikika akiomba, " OH GOD WE PRAY FOR YOU, AND OUR DEAR MOTHER, WE PRAY TO YOU" Akidhani anamwomba Mungu na kumwombea mama yake, kumbe amesema anamwombea Mungu na kumwomba mama yake.
Nakumbuka mwaka ambao niliacha kuomba kwa Kiingereza, ulikuwa muda wa kulala na nikasema, "PLEASE GOD BLESS THIS FOOD" nikashtuka na KUISHIA njiani!! Food my foot!! Food kitandani, tena nipo alone! Which food na si Mchawi!!
TUIPENDE LUGHA YETU INAKIDHI MAHITAJI YAKE YA MSINGI YA MAWASILIANO.
Ujumbe na utani.
Nilisoma sehemu kwamba, ukiona Mswahili anaomba Mungu kwa lugha ya Kiingereza, basi jua mtu huyo ana SHIDA NDOGO au MATATIZO MACHACHE.
Kwa wanaojua namna Waswahili wanavyotaja mambo mengi kwenye maombi yao wanaelewa kinachomaanishwa hapa.
Eti kuna mtu huko, aliomba huku akisema; " OH LORD, I KNOW YOU ARE NOTHING WITHOUT ME AND YOU NEED MY HELP" mtu aliyekuwa kando yake alipomuuliza maana ya maombi yake akasema, " EEH MWENYEZI MUNGU, MIMI SI KITU BILA WEWE NA NINAHITAJI MSAADA WAKO" JAMANI JAMANI!!!
Huyu mwingine alisikika akiomba, " OH GOD WE PRAY FOR YOU, AND OUR DEAR MOTHER, WE PRAY TO YOU" Akidhani anamwomba Mungu na kumwombea mama yake, kumbe amesema anamwombea Mungu na kumwomba mama yake.
Nakumbuka mwaka ambao niliacha kuomba kwa Kiingereza, ulikuwa muda wa kulala na nikasema, "PLEASE GOD BLESS THIS FOOD" nikashtuka na KUISHIA njiani!! Food my foot!! Food kitandani, tena nipo alone! Which food na si Mchawi!!
TUIPENDE LUGHA YETU INAKIDHI MAHITAJI YAKE YA MSINGI YA MAWASILIANO.
Ujumbe na utani.