MSWAKI MPYA!!

TUKUMBUSHANE
kununua miswaki
mipya mwaka 2019
Wengine humu
hamnunui miswaki
mipya mpaka
uwanguke chooni
Dogo unasubiri nini? Mbona una kipaji cha "kuona" weka bango la "mganga toka Nyanchabakenye" anaona wachawi,anaona"wachafu" anaogesha nyota !!!!! hii nayo "uppercut jab watu chaliii!!! kama Francis Cheka, yaani umetuwezaaaa!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…