Mswaki wako una miaka mingapi?

Mswaki wako una miaka mingapi?

Light saber

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2017
Posts
4,368
Reaction score
7,935
Nikianza mimi Huwa natumia mswaki wiki mbili Natupa,Yaani ukichange shape yake(ukianza kuchambuka ).

Wakuu Embu tujali afya ya kinywa.Unakuta mtu mswaki una Miaka miwili mpaka minne,.

Alafu unakuta mtu analalamika mdomo unanuka,Fizi zinauma,.

Kwa Hali hiyo ya kutumia mswaki mmoja miaka unafikiri utaacha kuumwa.
images (10).jpeg
 
Miswaki mingine uwa haichambuki kirahisi haswa ile ya Colgate. Hivyo basi wengine kubadili ni mpaka udondoke chooni au utimize mwaka
Naipataje hiyo mkuu, Maana nina kazi ya kununua miswaki Kila baada ya wiki mbili au ikichambuka.
 
Supermarket ama pharmacy. Lazima uipate, tena unakuta iko pair kwa kifungashio chake. Haichambuki kabisa labda utumie zaidi ya mwaka huko ndio sina experience
Thank you,.
Pia naomba uhimize watu wako wa karibu kuhusu afya ya kinywa.
 
Miswaki mingine uwa haichambuki kirahisi haswa ile ya Colgate. Hivyo basi wengine kubadili ni mpaka udondoke chooni au utimize mwaka
hiyo ya Colgate ni mizuri sana huwa situmii mingine nje ya hiyo brand kwa miswaki.
 
DOMO Lako kubwa na mibangi pia inachangia!!! kuharibu miswaki fizi haiwezi kuchakaza plastiki hata mwaka mzima!! muongo mkubwa weye!!! umenza kutumia miswaki ya keko ukubwani unatutisha tu weye !!

vuka mpaka nenda nairobi hutaweza kupiga mswaki mpya wa Nairobi lazima fizi zikatike katike!
 
Back
Top Bottom