Mswiga asifikiri kwamba CAF ni machawa wa mama wale ni professional na sio machawa

Mswiga asifikiri kwamba CAF ni machawa wa mama wale ni professional na sio machawa

Mpigania uhuru wa pili

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2023
Posts
3,380
Reaction score
6,376
Msigwa asifikiri kwamba CAF ni machawa wa mama wale ni professional

Kwanza atoe maelezo billion 30 zimetumikaje kwa sababu kwa macho ya kibinadamu hakuna chochote kilichofanyika ni kama uwanja umepigwa tu rangi

Nahukika katika vitu ambavyo CAF wanajuta ni kuwapa Tanzania Afcon hakuna kinachofanyika zaidi ya siasa na propaganda

Hata uwanja mpya unaojengwa Arusha usishangae ukakamilka na bado using na vigezo vya CAF nchi Inatafunwa bila huruma
 
Nilimsikia anasema hawapaswi kufungua uwanja bila kumpa taarifa 😅🤣
 
CCM Wezi Zaidi Wanadumaza Maendeleo Ya Mpira
Pesa Umepewa Kujenga/Ukarabati Hufanyi Pesa Zinagawanwa
 
Aibu kubwa itatupata watanzania kwa uongo,wizi,uchawa,ukanjanja wa viongozi machawa kila jambo tunamshukuru sijui nani vile,kwakutoa bilion 30, kukarabati mkapa lupaso iliyofungiwa na CAF ,tunamshukuru mama kwa CAF kufungia uwanja
 
Back
Top Bottom