heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
Mambo si mambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Izo ni apps za kutrade forex katika simu janja hata computer sasa kweny apple store na watumiaji wa iphone hawana access ya kuzidowload na hazitosapot katika simu za iOS izo Iphone zoteAlieelewa anieleweshe
Jifunzage hata kusoma mkuu, mbona unakimbilia kupost kabla ya kusoma?
We nawe huta hujasoma. Inaongelewa USA na sio wote.Izo ni apps za kutrade forex katika simu janja hata computer sasa kweny apple store na watumiaji wa iphone hawana access ya kuzidowload na hazitosapot katika simu za iOS izo Iphone zote
Mambo ya kibiashara mkuu, hao apple labda wanataka walipwe donge nono.Kama kweli itaathiri dunia nzima hii kitu na hapa ndio tunaona namna gani wazungi wasivyo na akili
Mkuu una iphone!? Nenda appstr zen njoo apa ukiikuta ila kAma ipo unayo bas usiipoteze maana uwezi ipataJifunzage hata kusoma mkuu, mbona unakimbilia kupost kabla ya kusoma?
Sasa huku ni USA?
Huo ni uongo bwana. Una jua pesa iliyopo huko fx wewe.
Yes ,ila haiathili maana waweza endelea in web vesion,Huo ni uongo bwana. Una jua pesa iliyopo huko fx wewe.
Hizo taarifa tunataka kuzipata kutoka Kwa Brokers wetu
Yeap sijasoma mpaka mwisho nimekupata kama ni USAWe nawe huta hujasoma. Inaongelewa USA na sio wote.
Mambo ya kudaunilodi hela?Izo ni apps za kutrade forex katika simu janja hata computer sasa kweny apple store na watumiaji wa iphone hawana access ya kuzidowload na hazitosapot katika simu za iOS izo Iphone zote
Heeeh!! Ila ni huko USA na ndo Kuna watumiaji wengi kuliko hata Bongo ndo ivyo zimefungiwaMambo ya kudaunilodi hela?
Wote app aipoYeap sijasoma mpaka mwisho nimekupata kama ni USA
Jifunzage hata kusoma mkuu, mbona unakimbilia kupost kabla ya kusoma?
Sasa huku ni USA?
Hapa haiongelewi nchi mkuu..We nawe huta hujasoma. Inaongelewa USA na sio wote.
kama aitorud trader watasusa Iphone 14Hapa haiongelewi nchi mkuu..
Swali ni una simu ya iphone?
Kama ndiyo, basi inakuhusu...
Kama hauna....potezea...