Wanavyo vya kumwaga.Mkuu, WAnauza vitu kama hivyo nilivyotaja hapa juu?
Wewe uko wapi?Sawa sawa boss.
Ukoo wa Mboro π π πNarung'ombe hapo utapata kuona na ulivyovisahau kuviandika kwa upande wa viatu, na kwa uhakika zaidi muulize mtu kwa mzee Mboro, hakika utaifurahia shopping yako
Yap...Muhonda
DDC haipo tena...Panajengwa upya..Narungombe na Congo. Pale karibu na stendi ya mwendokas ya msimbaz B. Hapo utaulizia jengo la ddc frem namba 25 mpaka 48 kuna maduka ya jumla mengj sana ya wachina
Ila Muhonda kwa hivyo viatu si ndiyo vinapatikana kwa wingi na bei nzuri Rafiki?Narung'ombe hapo utapata kuona na ulivyovisahau kuviandika kwa upande wa viatu, na kwa uhakika zaidi muulize mtu kwa mzee Mboro, hakika utaifurahia shopping yako
Huko nako ni uelekeo sahihiIla Muhonda kwa hivyo viatu si ndiyo vinapatikana kwa wingi na bei nzuri Rafiki?
Maana Narung'ombe wengi huwa naona wanatoa huko...
Tayari Mkuu....Tafadhari mkuu Nomba unielekeze vizuri ilipo hii muhonda ya upande wa pili
Yap...Kwa hio mkuu unshauri muhonda ndio the best?