Mtaa upi K.koo nitapata wauzaji jumla wa ndala, yebo, flip flops na rainboots?

Narungombe na Congo. Pale karibu na stendi ya mwendokas ya msimbaz B. Hapo utaulizia jengo la ddc frem namba 25 mpaka 48 kuna maduka ya jumla mengj sana ya wachina
Mkuu, WAnauza vitu kama hivyo nilivyotaja hapa juu?
 
Narung'ombe hapo utapata kuona na ulivyovisahau kuviandika kwa upande wa viatu, na kwa uhakika zaidi muulize mtu kwa mzee Mboro, hakika utaifurahia shopping yako
Ukoo wa Mboro πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Narung'ombe hapo utapata kuona na ulivyovisahau kuviandika kwa upande wa viatu, na kwa uhakika zaidi muulize mtu kwa mzee Mboro, hakika utaifurahia shopping yako
Ila Muhonda kwa hivyo viatu si ndiyo vinapatikana kwa wingi na bei nzuri Rafiki?
Maana Narung'ombe wengi huwa naona wanatoa huko...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…