KERO Mtaa wa Simba kata ya Kilungule, Bunju Beach hatuna maji zaidi ya wiki 3, DAWASA hawatupi majibu ya kueleweka

KERO Mtaa wa Simba kata ya Kilungule, Bunju Beach hatuna maji zaidi ya wiki 3, DAWASA hawatupi majibu ya kueleweka

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
DAWASA tunaomba majibu ni kwanini hatupati maji kwa kipindi chote hicho na bila taarifa, na pia wakipigiwa simu wanadai wanashughulikia lakini hakuna chochote kinachoendelea.

Imekuwa ni changamoto ya kujirudia rudia isiyopata utatuzi.

Maji yatatoka wiki moja halafu watatuma bili baada ya hapo hayatoki tena.

Tunaomba tusaidiwe katika hili tunateseka wananchi.

cc Wizara ya Maji
 
Back
Top Bottom