A
Anonymous
Guest
Serikali ina haja ya kutazama mpya juu ya suala la mtaala ulioboreshwa wa kidato cha kwanza 2025, kwa hakika mtaala huo haukidhi vigezo kwa mtoto wa kidato husika kwa sababu baadhi ya mada mfano Baiolojia alikuwa anajifunza kidato cha pili hadi cha nne lakini zimerudishwa form one.
Masomo mengi hata English Language yanahimiza kutumia ICT lakini shule nyingi hakuna ICT ROOM pia hata watoto hawana msingi na uelewa wowote kuhusu ICT hivyo contents za form one hazieleweki kwa mwanafunzi na ni ngumu kuzi masta.
Kwanini Serikali imeharakisha sana kulazimisha mtaala utumike wakati hilo jambo lilitakiwa lichukue hata miaka mitano au kumi ili lianze kutekelezwa.
Shida iliyopelekea mtaala wa kidato cha tano mwaka 2024 kusitishwa ni zilezile zinazotakiwa zitumike ili na huu usitishwe maana hawajatatua zile changamoto.
Elimu ni msingi kwa taifa lakini sasa hivi inachezewa sana kama haja ilikuwa ni mtoto akimaliza ajiajiri kwanini masomo ya KILIMO na KOMPYUTA hayakuwa ya lazima tofauti na Kiswahili na Geografia eti ni ya lazima.
NIOMBE JAMIIFORUMS JUKWAA LA HABARI MPAZE SAUTI JUU YA HUU MTAALA MPYA MAANA HAKUNA HATA VITENDEA KAZI KTK SHULE NYINGI SANA NCHINI.
Masomo mengi hata English Language yanahimiza kutumia ICT lakini shule nyingi hakuna ICT ROOM pia hata watoto hawana msingi na uelewa wowote kuhusu ICT hivyo contents za form one hazieleweki kwa mwanafunzi na ni ngumu kuzi masta.
Kwanini Serikali imeharakisha sana kulazimisha mtaala utumike wakati hilo jambo lilitakiwa lichukue hata miaka mitano au kumi ili lianze kutekelezwa.
Shida iliyopelekea mtaala wa kidato cha tano mwaka 2024 kusitishwa ni zilezile zinazotakiwa zitumike ili na huu usitishwe maana hawajatatua zile changamoto.
Elimu ni msingi kwa taifa lakini sasa hivi inachezewa sana kama haja ilikuwa ni mtoto akimaliza ajiajiri kwanini masomo ya KILIMO na KOMPYUTA hayakuwa ya lazima tofauti na Kiswahili na Geografia eti ni ya lazima.
NIOMBE JAMIIFORUMS JUKWAA LA HABARI MPAZE SAUTI JUU YA HUU MTAALA MPYA MAANA HAKUNA HATA VITENDEA KAZI KTK SHULE NYINGI SANA NCHINI.