Mtaala wa A-Level Physics

Kichuguu

Platinum Member
Joined
Oct 11, 2006
Posts
17,048
Reaction score
22,790
Kitabu nilichotumia A level Physics ni hiki hapa, na tulikimaliza chote ndani ya miaka miwili. Ninatafuta kitabu cha Physics A level kinachotumiwa leo sijafanikiwa kukipata; mwenye kopi yake anisaidie. Ninajua kuna topics ambazo zimeshiptwa na wakati, kwa mfano zile za Cathode Rays na Thermionic Valves zitakuwa zimeshapitwa na wakati lakini ningetegemea kuwamo kwa topics za kisasa zaidi za semiconductors na solid state electronics.
 

Attachments

Shukrani sana kwa ku-share hiyo soft copy.
Nilikuwa A-level 1985-87!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…