Wanajamvi naomba kuuliza, hivi kilichotakiwa kuwasilishwa na Mh. Mbatia (Mbunge wa JK) tarehe 6.2.2013 katika bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni MTAALA (CURRICULUM) au MIHTASARI (SYLABI)?
Kopi 300 zitagawiwa kwa wabunge zinahusu mtaala wa elimu. Swali je tafurani ya bungeni leo asubuh, kwanin dr kawambwa akuwasilisha kopi? Nchi ni usanii kila kukicha
Kopi 300 zitagawiwa kwa wabunge zinahusu mtaala wa elimu. Swali je tafurani ya bungeni leo asubuh, kwanin dr kawambwa akuwasilisha kopi? Nchi ni usanii kila kukicha