Mtaala wa elimu ulipata majibu?

ntagunga

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2011
Posts
704
Reaction score
285
Wana jamvi salam.
Nipo darasani, mwl anayefundisha anatufundisha namna ya kuandaa somo. Katika maelezo yake anasema:-
Inàanza CURRICULUM yaani mtaala.
Inafuatia COURSE OUTLINE(SYLLUBUS)
Inafuata SCHEME OF WORK
Na mwisho, LESSON PLAN.
Mafundisho ya mwalimu, yakanikumbusha Mbatiaàlisema TZ hatuna MTAALA(CURRICULUM). Nimemwuliza mwl. Alikuwa na maana gani? Mwalimu anasema wanasiasa huwa wana malengo yao. Nikumbusheni wadau, sakata lile, lilimalizika vp?
 
Nijuacho mimi Mh. Mbatia mbunge wa rais, alikuwa kazini ili kuhamisha mjadala, watu wasifikirie mambo mengine ya msingi waanze kufikiria mtàala. Sasa sylubus tulizosoma zimeoka wapi kama hakuna mitaala? Na lini engineer akawa msemaji wa mwalimu? Anyway, tusubiri majibu toka kwa wadau wengine
 

mkuu ntamaholo, inawezekana kweli alitaka kuahimisha mjadala coz tumekuwa watu wa kufuatilia issues zinazoibuka. Kuna tetesi pia kuwa ilikuwa mbinu ya ccm kuitokomeza CDM by 2015
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…