Mtaala wa Udaktari Udurusiwe

Mtaala wa Udaktari Udurusiwe

Filosofia ya Rorya

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2021
Posts
3,211
Reaction score
3,611
Tujadiliane.

Mhitimu wa Stashahada ya Utabibu (miaka 2) na pengine aliye na uzoefu wa kazi, kwanini akienda kusoma Udaktari kamili (ngazi ya Shahada) asipunguziwe miaka ya masomo toka 5 kurudi chini?

Anapolazimika kusoma miaka 5 sawa na mhitimu wa kidato cha 6 ina maana mtaala wa kidato cha 6 ndiyo huo huo mtaala wa Stashahada ya Utabibu?

Je, kidato cha 6 yuko sawa na mwenye Stashahada ya Utabibu kwamba wote hao wawili wasome miaka na mtaala unaofanana wa Shahada ya Udaktari chuo kikuu?

Aidha, kwanini mhitimu wa Cheti cha Utabibu anaitwa jina moja la CO (Clinical Officer) yaani Tabibu sawa na mhitimu wa Stashahada? Ina maana mtaala wa Cheti cha Utabibu na mtaala wa Stashahada ya Utabibu vinalingana kwenye maudhui? Cheti na Stashahada vina hadhi sawa?

Wabunge mlione hili kwa jicho la 3.
 
Unataka miaka iwe mingapi!? Afu kwann iwe udaktari tu unafikiri wa Education aliesoma Diploma miaka mi3 au Mi2 yeye huwa anasoma mwaka mmoja mkuu!?

Kama huwezi kusoma hiyo miaka mi5 acha tu ufanye issues zingine mkuu!?
 
Elimu inayoeleweka duniani ni katika mpangilio huu : kutoka primary kwenda secondary kwenda high school au advanced na kwenda chuo kikuu.

Mfumo wa kupitia astashahada( certificate) au stashahada( diploma) ni mfumo ulioandaliwa kwa ajili ya wale walioshindwa kuendana na mfumo wa kawaida na aghalabu wanakuwa wamefeli.

Kutokea kidato Cha sita au high school ni mfumo unatambulika dunia nzima kumuanda mwanafunzi kwa masomo ya chuo kikuu. Mwanafunzi aliyetoka advance na kwenda chuo anakuwa competent sana na mwenye uwezo na uelewa mkubwa sana darasani kutokana na kwamba masomo ya advance yanamuandaa mtu kukabiliana na mfumo wa masomo ya Elimu ya juu.
 
Elimu inayoeleweka duniani ni katika mpangilio huu : kutoka primary kwenda secondary kwenda high school au advanced na kwenda chuo kikuu.

Mfumo wa kupitia astashahada( certificate) au stashahada( diploma) ni mfumo ulioandaliwa kwa ajili ya wale walioshindwa kuendana na mfumo wa kawaida na aghalabu wanakuwa wamefeli.

Kutokea kidato Cha sita au high school ni mfumo unatambulika dunia nzima kumuanda mwanafunzi kwa masomo ya chuo kikuu. Mwanafunzi aliyetoka advance na kwenda chuo anakuwa competent sana na mwenye uwezo na uelewa mkubwa sana darasani kutokana na kwamba masomo ya advance yanamuandaa mtu kukabiliana na mfumo wa masomo ya Elimu ya juu.
Je, aliyetoka kidato cha 6 na akaenda Diploma na baadaye Digrii yeye huwa uelewa wake ukoje darasani kulinganisha na kidato cha 6 bila Diploma wanapokutana chuo kikuu?
 
Tujadiliane.

Mhitimu wa Stashahada ya Utabibu (miaka 2) na pengine aliye na uzoefu wa kazi, kwanini akienda kusoma Udaktari kamili (ngazi ya Shahada) asipunguziwe miaka ya masomo toka 5 kurudi chini?

Anapolazimika kusoma miaka 5 sawa na mhitimu wa kidato cha 6 ina maana mtaala wa kidato cha 6 ndiyo huo huo mtaala wa Stashahada ya Utabibu?

Je, kidato cha 6 yuko sawa na mwenye Stashahada ya Utabibu kwamba wote hao wawili wasome miaka na mtaala unaofanana wa Shahada ya Udaktari chuo kikuu?

Wabunge mlione hili kwa jicho la 3.

Tena Tanzania una bahati miaka 5, nchini Amerika utahitajika kuwa na digrii ya mwanzo kabla ya kusoma digrii ya kwanza ya udaktari.

Naamini nchini Marekani wanafanya ulazima huo ili anayesomea udaktari awe ameivaa hasa kimasomo kabla hajajiunga kusoma udaktari ili mwisho wa siku akihitimu, hatima ya maisha ya mgonjwa iwe ktk mikono salama ya daktari aliyehitimu vizuri na ndiyo maana kiwango cha ufaulu huwa 96% kwa waliofanikiwa kumaliza digrii ya udaktari nchini Marekani.

Ili usome miaka michache wengi upande wa Marekani ya Kaskazini huomba program maalum BS / MD ambayo unasoma miaka saba mfululizo itajumuisha Bachelor of Science na MD. Lakini ukisoma degree ya BS na baadaye ukaomba kujiunga kusomea degree ya udaktari yaani MD itakuchukua miaka 8 na kuendelea.

Hivyo kuwa mpole miaka 5 siyo mingi kusomea udaktari Tanzania.

US and Canadian medical schools graduate their students at a 96+% rate, which is much higher than that of the six year systems. One of the reasons for this is the extra filter that undergraduate degrees offer. Most of the schools want graduates because of this and the fact that such students are more mature and skilled at learning the vast amounts (in a very short time) of information that comes with medical school.
 
Unataka miaka iwe mingapi!? Afu kwann iwe udaktari tu unafikiri wa Education aliesoma Diploma miaka mi3 au Mi2 yeye huwa anasoma mwaka mmoja mkuu!?

Kama huwezi kusoma hiyo miaka mi5 acha tu ufanye issues zingine mkuu!?
Mkuu hujanishawishi.

Unamaanisha kidato cha 6 bila Diploma ya Utabibu yuko sawa na kidato cha 6 mwenye Diploma ya Utabibu?

Je, kidato cha 6 bila Diploma ya Utabibu anajuwa yafuatayo?

1. Pharmacology.
2. Surgery.
3. Anatomy and Physiology.
4. Medical Psychology.
5. Lab Technics.
6. Pathology (Bacteriology & Virology).

Hapo 1- 6 namaanisha je, mhitimu wa kidato cha 6 anajuwa kuandika dawa? Je, anajuwa upasuaji mdogo? Je, anajuwa kusoma ripoti za Maabara? Je, anajuwa kushona nyuzi? Je, anajuwa kudunga sindano? Je, anajuwa kuzalisha mjamzito? Je, anajuwa kuweka dripu?

Wenye Diploma ya Utabibu wakienda Digrii ya Udaktari wapunguziwe miaka ya kozi.
 
Tena Tanzania una bahati miaka 5, nchini Amerika utahitajika kuwa na digrii ya mwanzo kabla ya kusoma digrii ya kwanza ya udaktari.

Naamini nchini Marekani wanafanya ulazima huo ili anayesomea udaktari awe ameivaa hasa kimasomo kabla hajajiunga kusoma udaktari ili mwisho wa siku akihitimu hatima ya maisha ya mgonjwa iwe ktk mikono salama ya daktari alihitimu vizuri.
Mkuu unamaanisha mwenye digrii ya Political Science au Kiswahili anaweza kudahiliwa kusoma digrii ya Udaktari Marekani?
 
Elimu inayoeleweka duniani ni katika mpangilio huu : kutoka primary kwenda secondary kwenda high school au advanced na kwenda chuo kikuu.

Mfumo wa kupitia astashahada( certificate) au stashahada( diploma) ni mfumo ulioandaliwa kwa ajili ya wale walioshindwa kuendana na mfumo wa kawaida na aghalabu wanakuwa wamefeli.

Kutokea kidato Cha sita au high school ni mfumo unatambulika dunia nzima kumuanda mwanafunzi kwa masomo ya chuo kikuu. Mwanafunzi aliyetoka advance na kwenda chuo anakuwa competent sana na mwenye uwezo na uelewa mkubwa sana darasani kutokana na kwamba masomo ya advance yanamuandaa mtu kukabiliana na mfumo wa masomo ya Elimu ya juu.
Bro yani umeenda OP kabisa... kozi nyingi za engineering zinakua miaka 4 kusoma kama umepitia advance, kama ulipita diploma basi unatosoma miaka 3. Na hio ya advance sio dunia nzima... Kenya tu hapo ukimaliza form 4 unaenda college. Nchi kama marekani wana high-school ambapo ndio unapata high-school-diploma. Na kwa uzoefu wangu, waajili wengi wanaoajili freshers wanakwambia waliopitia diploma wanakuaga na ujuzi zaidi katika kazi kuliko wale walitokea A-level, kwa upande wa engineering.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tena Tanzania una bahati miaka 5, nchini Amerika utahitajika kuwa na digrii ya mwanzo kabla ya kusoma digrii ya kwanza ya udaktari.

Naamini nchini Marekani wanafanya ulazima huo ili anayesomea udaktari awe ameivaa hasa kimasomo kabla hajajiunga kusoma udaktari ili mwisho wa siku akihitimu hatima ya maisha ya mgonjwa iwe ktk mikono salama ya daktari alihitimu vizuri.
India ambayo ni world role model wa medical tourism (matajiri wa US wanajitibia India) daktari bingwa ana umri wa miaka 21 minimum.
 
Elimu inayoeleweka duniani ni katika mpangilio huu : kutoka primary kwenda secondary kwenda high school au advanced na kwenda chuo kikuu.

Mfumo wa kupitia astashahada( certificate) au stashahada( diploma) ni mfumo ulioandaliwa kwa ajili ya wale walioshindwa kuendana na mfumo wa kawaida na aghalabu wanakuwa wamefeli.

Kutokea kidato Cha sita au high school ni mfumo unatambulika dunia nzima kumuanda mwanafunzi kwa masomo ya chuo kikuu. Mwanafunzi aliyetoka advance na kwenda chuo anakuwa competent sana na mwenye uwezo na uelewa mkubwa sana darasani kutokana na kwamba masomo ya advance yanamuandaa mtu kukabiliana na mfumo wa masomo ya Elimu ya juu.
Kutoka primary>secondary,,>high school>advanced>University huo ni mfumo wa Tanzania tu sio mfumo wa dunia
 
Bro yani umeenda OP kabisa... kozi nyingi za engineering zinakua miaka 4 kusoma kama umepitia advance, kama ulipita diploma basi unatosoma miaka 3. Na hio ya advance sio dunia nzima... Kenya tu hapo ukimaliza form 4 unaenda college. Nchi kama marekani wana high-school ambapo ndio unapata high-school-diploma. Na kwa uzoefu wangu, waajili wengi wanaoajili freshers wanakwambia waliopitia diploma wanakuaga na ujuzi zaidi katika kazi kuliko wale walitokea A-level, kwa upande wa engineering.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu.
Mbona umehitimisha mjadala ungali mtamu?

Chukuwa soda baridi nalipa mimi.

Umeongea kitaalam kwa 100% nachelea kuongezea hata nukta.

Mwenye masikio na asikie asomaye na afahamu.
 
Unataka miaka iwe mingapi!? Afu kwann iwe udaktari tu unafikiri wa Education aliesoma Diploma miaka mi3 au Mi2 yeye huwa anasoma mwaka mmoja mkuu!?

Kama huwezi kusoma hiyo miaka mi5 acha tu ufanye issues zingine mkuu!?
fani zote malalamiko ni hayo hayo. haiingii akilini pia mwenye Diploma ya Education na uzoefu hata wa miaka miwili anakalishwa darasani muda sawa na fresh kutoka A level....
 
Kutoka primary>secondary,,>high school>advanced>University huo ni mfumo wa Tanzania tu sio mfumo wa dunia
Alafu eti mhitimu wa Cheti cha Utabibu anaitwa jina moja la CO (Clinical Officer) yaani Tabibu sawa na mhitimu wa Stashahada ya Utabibu! Ina maana mtaala wa Cheti cha Utabibu na mtaala wa Stashahada ya Utabibu vinalingana kwenye maudhui? Cheti na Stashahada vina hadhi sawa? Baghosha Tz!

Wabunge mliwashe kieleweke.
 
Anafikiri mfumo wa diploma umewekwa kwa waliofeli
Alafu eti mhitimu wa Cheti cha Utabibu anaitwa jina moja la CO (Clinical Officer) yaani Tabibu sawa na mhitimu wa Stashahada ya Utabibu! Ina maana mtaala wa Cheti cha Utabibu na mtaala wa Stashahada ya Utabibu vinalingana kwenye maudhui? Cheti na Stashahada vina hadhi sawa? Baghosha Tz!

Wabunge mliwashe kieleweke.
 
Tujadiliane.

Mhitimu wa Stashahada ya Utabibu (miaka 2) na pengine aliye na uzoefu wa kazi, kwanini akienda kusoma Udaktari kamili (ngazi ya Shahada) asipunguziwe miaka ya masomo toka 5 kurudi chini?

Anapolazimika kusoma miaka 5 sawa na mhitimu wa kidato cha 6 ina maana mtaala wa kidato cha 6 ndiyo huo huo mtaala wa Stashahada ya Utabibu?

Je, kidato cha 6 yuko sawa na mwenye Stashahada ya Utabibu kwamba wote hao wawili wasome miaka na mtaala unaofanana wa Shahada ya Udaktari chuo kikuu?

Aidha, kwanini mhitimu wa Cheti cha Utabibu anaitwa jina moja la CO (Clinical Officer) yaani Tabibu sawa na mhitimu wa Stashahada? Ina maana mtaala wa Cheti cha Utabibu na mtaala wa Stashahada ya Utabibu vinalingana kwenye maudhui? Cheti na Stashahada vina hadhi sawa?

Wabunge mlione hili kwa jicho la 3.
Umeishafeli
 
Back
Top Bottom