Samedi Amba
JF-Expert Member
- Nov 13, 2018
- 227
- 178
Habari za leo wanajamvi,
Kuna mchongo fulani hivi naifukuzia, nahitaji kujua kama kuna mtaalam yeyote (wewe au unayemfahamu) ambaye ana uzoefu wa kutengeneza electronic database ya shirika la afya k.m. chama cha madaktari, chama cha wauguzi (nk)
Focus ni kujua inatengenezwaje, uzoefu na possibility ya kufanya kazi pamoja katika hili. Nashukuru kwa kunisikiliza. Siku njema.
Kuna mchongo fulani hivi naifukuzia, nahitaji kujua kama kuna mtaalam yeyote (wewe au unayemfahamu) ambaye ana uzoefu wa kutengeneza electronic database ya shirika la afya k.m. chama cha madaktari, chama cha wauguzi (nk)
Focus ni kujua inatengenezwaje, uzoefu na possibility ya kufanya kazi pamoja katika hili. Nashukuru kwa kunisikiliza. Siku njema.