Mtaalam wa lugha ya alama ya tz na huduma ya ukalimani

Manselly

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2010
Posts
456
Reaction score
130
Habari wana JF,
Mimi ni mtaalam wa lugha ya alama na mambo ya ukalimani kwa viziwi hapa Tz.
Kwa yeyote anaeendesha taasisi,semina,warsha au event yeyote na anataka kuwashirikisha watu wenye ulemavu(viziwi) kwa lengo la kutoa haki sawa kwa wote tuwasiliane kwa 0717118844.Nina uzoefu na nimesomea izi mambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…